
Rais Mwinyi aipongeza Airpay uzinduzi wa mifumo ya kidijitali ya ZEEA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ally Mwinyi (kushoto) akimkabidhi tuzo Mkurugenzi Mtendaji Kampuni ya Airpay Tanzania Yasmin Chali (kulia) kwa kudhamini Tamasha la Pili la Fahari ya Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ameipongeza Kampuni ya Airpay Tanzania kwa kudhamini Tamasha…