WANAHARAKATI WASHAURI KUONGEZWA KWA BAJETI KWENYE MAPAMBANO DHIDI YA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA

SERIKALI imeshauriwa kuongeza Bajeti kwenye mapambano ya magonjwa yasiyoambukiza ili kupunguza magonjwa hayo kwa sasa kwenye jamii. Rai hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam na Mshauri wa masuala ya Kijinsia na ujumuishi wa Makundi maalum, Mary kalavo,wakati uchambuzi wa kijinsia kwenye sekta ya Afya ya mwaka 2024-2025 ili kujadili na wadau mbalimbali kuhusu nini…

Read More

Ligi ya Championship utamu umerudi upyaa

MSIMU mpya wa 2024-2025 wa Ligi ya Championship umerejea tena upya huku makocha wa timu zote 16 zinazoshiriki wakikiri utakuwa na mvuto wa aina yake kutokana na usajili mkubwa uliofanyika wa wachezaji bora na wenye uzoefu wa Ligi Kuu Bara. Leo michezo miwili ya ufunguzi itapigwa kati ya Mbeya City iliyoikaribisha Bigman FC iliyokuwa inajulikana kwa…

Read More

UZINDUZI TAMASHA LA UTAMADUNI WAITEKA RUVUMA

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Damas Ndumbaro pamoja na viongozi wengine wakitoa burudani staili ya Misomisondo mara baada ya kufungua Tamasha la tatu la utamaduni la Kitaifa mkoani Ruvuma Septemba 20, 2024 katika Uwanja wa Majimaji Manispaa ya Songea. Na Mwandishi Wetu, RUVUMA WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Damas Ndumbaro amewaasa…

Read More

NMB wapiga tafu mashindano ya kimataifa ya Diplomatic Golf

  BENKI ya NMB imekabidhi udhamini wa vifaa vya michezo kwa ajili ya wachezaji 150 wanaotarajia kushiriki mashindano ya kimataifa ya Diplomatic Golf 2024. Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha … (endelea). Michuano hiyo inayotarajia kuanza kutimua vumbi kwa siku mbili kuanzia Septemba 21-22, 2024 katika viwanja vya Kili Golf vilivyoko Mkoani Arusha yana lengo la kuchangisha…

Read More