
MAVUNDE AGAWA MITUNGI YA GESI DODOMA MJINI
MBUNGE wa Dodoma Mjini na Waziri wa Madini Mhe.Anthony Mavunde,akabidhi mitungi ya gesi kwa taasisi za umma ikiwemo shule za msingi na Sekondari, Vituo vya afya , Zahanati pamoja na Mama Lishe na Baba lishe ili kupunguza adha ya uchafunzi wa mazingira leo Septemba 20,2024 jijini Dodoma MBUNGE wa Dodoma Mjini na Waziri wa Madini…