Hatari: ARV zatumika kunenepesha kuku, nguruwe

Mbeya. Matumizi ya dawa za kufubaza Virusi vya Ukimwi (ARV) kunenepesha mifugo, yametajwa kushika kasi nchini na kuchangia usugu wa dawa hizo unaotokana na ulaji wa mazao ya mifugo kama vile kuku na nguruwe. Kutokana na hilo, Serikali imelazimika kufanya vikao na wadau wa sekta ya afya na mifugo kuweka mikakati ya pamoja kutafuta suluhisho…

Read More

Makipa Namungo wagawanywa mechi | Mwanaspoti

UWEPO wa makipa watatu wenye uzoefu kwenye kikosi cha Namungo ambao ni Beno Kakolanya, Erick Molongi na Jonathan Nahimana umelifanya benchi la ufundi la timu hiyo kugawanya muda wa kucheza kwa makipa hao. Katika mchezo wa ligi dhidi ya Coastal Union alishuhudiwa kwa mara ya pili msimu huu kipa wa kimataifa kutoka DR Congo, Molongi…

Read More

MHE.KATIMBA:TRIL.11.5/- ZIMETUMIKA MIRADI YA MAENDELEO KIGOMA

OR-TAMISEMI Naibu Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI Mhe. Zainab Katimba amesema takribani sh. Trilioni 11.5 zimetumika katika ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayoendelea kuunufaisha na kuufungua kiuchumi Mkoa wa Kigoma ndani ya miaka mitatu ya serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Mhe. Katimba ameyasema hayo kwa…

Read More

SERIKALI YAWAVUTIA KASI WATUMISHI WAZEMBE

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deus Sangu,akizungumza   kwenye Kikao kazi cha Watumishi wa Manispaa ya Tabora mara baada kusikiliza changamoto zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi, ikiwa ni ziara ya kimkakati ya kuwafuata watumishi katika maeneo yao ya kazi badala ya kuja Dodoma. MKUU wa Mkoa wa Tabora…

Read More

Kafulila aipongeza CBE kwa miradi ya ubia

  KAMISHNA wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP), David Kafulila, amevitaka vyuo vya umma nchini kutumia sekta binafsi kujenga mabweni  na miradi mbalimbali kwa ubia na sekta binafsi bila kutegemea fedha za Serikali. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Amesema miradi ya ubia inainufaisha zaidi serikali kwani inapata teknolojia…

Read More

NMB waipiga tafu mashindano ya kimataifa ya Diplomatic Golf.

Benki ya NMB imefanikiwa kukabidhi udhamini wa vifaa vya michezo kwa ajili ya wachezaji 150 wanaotarajia kushiriki mashindano ya kimataifa ya Diplomatic Golf 2024. Michuano hiyo inayotarajia kuanza kutimua vumbi kwa siku mbili kuanzia Septemba 21-22, 2024 katika viwanja vya Kili Golf vilivyoko Mkoani Arusha yana lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia watoto…

Read More