Mikakati yapangwa katika kutatua changamoto kwa magonjwa yasiyoambukiza shuleni

Uanzishwaji wa Mitaala ya ufundishaji kuhusu magonjwa yasiyoambukiza shuleni,upimaji wa magonjwa kwa wanafunzi,kauli nzuri za watoto kwa wazazi na upimaji wa mara kwa mara ni moja ya mikakati iliyoidhinishwa katika kutatua changamoto wanazokumbana nazo wagonjwa hao na jinsi yakuishi uwapo na magonjwa hayo. Hayo yamebainishwa katika mkutano ulioandaliwa na Taasisi ya Tanzania Non communicable disease…

Read More

Kafulila aipongeza CBE kwa ubunifu

  Na Mwandishi Wetu  KAMISHNA wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP), David Kafulila, amevitaka vyuo vya umma nchini kutumia sekta binafsi kujenga mabweni  na miradi mbalimbali kwa ubia na sekta binafsi bila kutegemea fedha za Serikali. Amesema miradi ya ubia inainufaisha zaidi serikali kwani inapata teknolojia mpya na za kisasa kutoka…

Read More

Nyansaho Foundation yatoa pikipiki 60 kuwasaidia watendaji wa kata na waratibu wa Elimu Serengeti

Taasisi ya Nyansaho Foundation imetoa pikipiki 60 kwa watendaji wa kata na waratibu wa elimu katika Wilaya ya Serengeti ili kuwawezesha kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi. Hatua hii inalenga kusaidia utoaji wa huduma bora kwa wananchi katika maeneo ya vijijini. Mkurugenzi wa taasisi hiyo, Dkt. Rhimo Nyansaho, amesema pikipiki hizo zitatumika kurahisisha usimamizi wa miradi…

Read More