
Familia: Ndoto ya miaka 40 kuandika kitabu cha Sokoine imetimia
FAMILIA ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Edward Sokoine, imesema imetamani kuandika kitabu cha historia ya kiongozi huyo kwa zaidi ya miaka 30. Anaripoti Restuta James, Dar es Salaam … (endelea). Mtoto wa kiongozi huyo, Balozi Joseph Sokoine, ameyasema hayo leo kwenye hafla ya uzinduzi wa kitabu cha hayati Sokoine: Maisha na Uongozi, inayofanyika…