Von der Leyen aizuru Ukraine kujadili usalama wa nishati – DW – 20.09.2024

Majadiliano hayo ni muhimu ikizingatiwa kwamba sehemu kubwa ya miundombinu ya nishati ya Ukraine imeharibiwa na mashambulizi ya Urusi tangu kuanza kwa vita miaka miwili na nusu iliyopita.  Ziara ya Von de Leyen mjini Kyiv inafanyika baada ya kushuhudiwa makabiliano makali wakati wa msimu wa kiangazi unaoelekea ukingoni ambayo yamesababisha uharibifu wa kutisha kwenye mifumo…

Read More

WAZIRI JAFO ASISITIZA TIJA KATIKA UTEKELEZAJI MIRADI

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Jafo,akizungumza mara baada ya kuweka Jiwe la Msingi Mradi wa Maji Naipanga Wilaya ya Nachingwea ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake Maalum Mkoani Lindi inayolenga kukagua utekekelezaji wa Miradi ya maendeleo katika Awamu ya Sita chini ya kauli mbiu isemayo “Rais Samia na Maendeleo Wasikie na Waone”….

Read More

30 WAPANDIKIZWA MENO BANDIA KWA NJIA YA KISASA MLOGANZILA

Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila imehitimisha kambi maalum ya uchunguzi na upandikizaji wa meno bandia ambapo wagonjwa takribani 30 wamefanyiwa matibabu ya kupandikiza meno bandia kwa njia ya kisasa, huduma ambayo imefanyika kwa mara ya kwanza katika Hospitali ya Umma nchini. Kwa mujibu wa Bingwa wa Afya ya Kinywa na Meno Dkt. Peter Shempemba zaidi ya…

Read More

Beki JKT amchomoa Kibwana Yanga

BEKI wa JKT Tanzania ambaye alipata nafasi ya kucheza Yanga, David Bryson amemtaja Kibwana Shomari kuwa ni beki mzuri lakini anapotezwa na uwepo wa Attohoula Yao. Akizungumza na Mwanaspoti, Bryson amesema kuna mabeki wengi namba mbili wanaocheza ligi ya ndani anaowakubali akiwemo Kibwana, lakini anajisikia vibaya kuona licha ya kucheza kwa mafanikio Yanga anakosa nafasi…

Read More

JAFO: SHIRIKIANENI KUTEKELEZA MIRADI KWA UFANISI

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Jafo, akiweka  Jiwe la Msingi katika Kituo cha Afya Lionja kilichopo Wilaya ya Nachingwea pamoja na  kukagua ujenzi unaoendelea ikiwa ni mwendelezo wa Ziara Maalum Mkoani Lindi inayolenga kukagua utekekelezaji wa Miradi ya maendeleo katika Awamu ya Sita chini ya kauli mbiu isemayo “Rais Samia na Maendeleo…

Read More

Mcolombia Azam amvulia kofia Bacca

BEKI kisiki wa Azam FC, Fuentes Mendosa ameshindwa kujizuia na kukiri kuwa Ibrahim Hamad ‘Bacca’ anayekipiga Yanga alistahili kuwa beki bora wa msimu uliopita kutokana na aina ya uchezaji wake ambao umekuwa ukimvutia. Bacca anashikilia tuzo ya Mchezaji Bora wa Zanzibar na Beki Bora wa Ligi Kuu Bara msimu ulioisha, ametajwa na Mendosa kuwa anavutiwa…

Read More