Dereva, kondakta na abiria mbaroni wakidaiwa kumpiga trafiki

Jeshi la Polisi mkoani Mara linawashikilia watu 18 wakiwamo abiria 16, dereva na kondakta kwa tuhuma za kumpiga askari wa usalama barabarani aliyekuwa akikagua gari walilokuwa wamepanda. Tukio hilo limetokea juzi Jumatano Septemba 18, 2024, saa 12 jioni. Ofisa Mnadhimu wa Jeshi la Polisi Trafiki Kuu, Butusyo Mwambelo amesema askari huyo alikumbwa na kipigo wakati…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Watakaopanda Ligi Kuu msimu ujao ni hawa

LIGI ya Championship itaanza hivi karibuni na itashirikisha timu 16 zitakazosaka nafasi mbili za kupanda moja kwa moja Ligi Kuu  na nyingine moja ya kupambania kupanda kwa mechi za mchujo. Kuna mambo kama mawili hivi nahisi yanaweza kutokea katika Ligi ya Championship msimu kwa namna nilivyofuatilia maandalizi na mipango ya timu shiriki. Jambo la kwanza…

Read More

SERIKALI HAIWEZI KURUHUSU WANANCHI WAPATE MADHARA

Naibu waziri wa madini Dkt Steven Kiruswa ametembelea katika ujenzi wa mradi wa kiwanda kidogo cha majaribio ya uchimbaji madini ya Uranium unaozalishwa na kampuni ya uchimbaji madini MANTRA uliopo kijiji cha Likuyu wilaya ya Namtumbo mkoa wa Ruvuma Akizungumza na wananchi wa kijiji cha Likuyu wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma amesema wananchi waachane na…

Read More

Geita Gold yampa mzuka Josiah

PAZIA la Ligi ya Championship msimu wa 2024/2025 linafunguliwa kesho huku wageni wa michuano hiyo, Geita Gold wakianzia nyumbani Nyankumbu dhidi ya TMA ya Arusha saa 8:00 mchana, huku Kocha Mkuu wa timu hiyo, Amani Josiah akitamba kuanza vizuri. Geita Gold inashiriki michuano hiyo baada ya kushuka daraja kutoka Ligi Kuu Bara msimu uliopita, ina…

Read More

Dereva, kondakta na abiria 16 wakamatwa Mara kwa kumpiga Askari

Jeshi la Polisi mkoani Mara linawashikilia watu 18, wakiwemo dereva, kondakta na abiria 16, kwa tuhuma za kumpiga askari wa usalama barabarani aliyekuwa akikagua gari walilokuwa wamepanda. Tukio hilo lilitokea Septemba 18, 2024, saa 12 jioni katika mkoa wa Mara. Akizungumza kuhusu tukio hilo, Ofisa Mnadhimu wa Jeshi la Polisi Trafiki Kuu, Butusyo Mwambelo, amesema…

Read More

NMB yaiongezea nguvu Yanga kimataifa

KUELEKEA mchezo wa marudiano wa raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya CBE SA ya Ethiopia, mabingwa wa Tanzania, Yanga wameitambulisha Benki ya NMB kuwa ni mmoja wa wadhamini wa mechi hiyo, ushirikiano uliopewa jina la ‘Timu Bora, Benki Bora’. Yanga wanashuka dimbani kesho Jumamosi Juni 21 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex,…

Read More

Tausi Royals yatishia vigogo | Mwanaspoti

WAKALI wao., Tausi Royals inazidi kutishia vigogo wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BD) upande wanawake, baada ya kuifunga DB Lioness kwa pointi  61-51 kwenye mchezo mkali uliochezwa kwenye Uwanja wa Donbosco Oysterbay, Tausi Royals ambayo ni timu ngeni katika ligi hiyo, imebakiza michezo miwili dhidi ya Vijana Queens na Polisi Stars…

Read More

Ngaiza afunika kwa Rebound | Mwanaspoti

FOTIUS Ngaiza wa Vijana ‘City Bulls’, anaongoza kwa kudaka mipira ya ‘rebound’ mara 269 katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BD). Ngaiza aliweza kumwacha kwa mbali mkongwe  Jimmy Brown  wa UDSM Outsiders, anayeshika nafasi ya pili  kwa udakaji mara 203. Nafasi ya tatu  ilikwenda kwa Elias Nshishi aliyedaka mara 200, Cornelius Ngaiza…

Read More