Mlandizi Queens yaanza hesabu mapema WPL

Mlandizi Queens imesema itapambana msimu huu kuhakikisha inatengeneza timu kisha msimu ujao kuchukua ubingwa. Ikumbukwe Mlandizi ndio mabingwa wa kwanza wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) msimu wa 2016/2017 na tangu hapo Simba Queens na JKT Queens zimekuwa zikitawala ligi hiyo. Kocha wa timu hiyo, Jamila Kassim aliliambia Mwanaspoti, malengo yao kwanza ni kutengeneza kikosi…

Read More

Kagera, KenGold acha tuone na leo

MSHIKE mshike wa Ligi Kuu Bara unaendelea tena leo na michezo miwili itapigwa, huku macho na masikio yakielekezwa Uwanja wa Kaitaba Bukoba kwa mechi kali kati ya wenyeji Kagera Sugar dhidi ya KenGold. Mchezo huo utapigwa saa 1:00 usiku ingawa utatanguliwa na mechi ya mapema saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwingi mkoani…

Read More

WIZARA YA MAJI YAWAHAKIKISHIA WATANZANIA KUWA IMEJIPANGA KUMALIZA CHANGAMOTO YA MAJI KATIKA MAENEO YAO

Waziri wa maji Juma Aweso,akinawa maji ya bomba baada ya kuweka jiwe la msingi katika ujenzi wa mradi wa maji wa Ndelenyuma-Lutukira Halmashauri ya Madaba mkoani Ruvuma ambao utekelezaji wake umefikia asilimia zaidi ya 85,kulia Mbunge wa Jimbo la Madaba Joseph Mhagama,na kushoto Diwani wa kata ya Mkongotema Vastus Mfikwa. Waziri wa maji Juma Aweso,akiondoa…

Read More

Beki Msenegali amchomoa Fei Toto

BEKI wa kushoto wa Azam FC, Cheikh Sidibe amesema hakuna mchezaji asiyetamani kucheza na kiungo wa timu hiyo, Feisal Salum ‘Fei Toto’, kutokana na aina ya uchezaji wake, huku akimpa miaka miwili kucheza Tanzania. Akizungumza na Mwanaspoti, Sidibe ambaye ni raia wa Senegal alisema anafurahi kucheza timu moja na kiungo huyo na ubora wake umekuwa…

Read More

Waziri wa Kilimo Atembelea Shamba la Kuzalisha Mbegu za Shayir

WAZIRI wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) ametembelea shamba la kuzalisha mbegu za shayiri la kampuni ya Silverland Ndolela Limited, tarehe 18 Septemba 2024 lililopo mkoani Ruvuma.  Amepitia mashine na Mifumo mbalimbali ya uzalishaji wa mbegu na kujadili namna ya kushirikiana nao, ubia kati ya Serikali na Sekta Binafsi (Public Private Partnership – PPP), katika…

Read More

Unakumbuka Chai maharage zilivyotamba Dar?

Tumetoka mbali. Hivi ndivyo unavyoweza kueleza safari ya mabadiliko ya sekta ya usafiri wa abiria hasa katika Jiji la Dar es Salaam. Kutoka kupanda mabasi ya UDA yaliyohodhi usafiri, Dar ilifika mahala ikajaa abiria, mabasi ya UDA na mengineyo yaliyokuwepo hayakuhimili vishindo vya wingi wa abiria. Kunusuru hali hiyo,  mwanzoni mwa miaka ya 1990, Serikali…

Read More