WAZIRI MKUU KUMWAKILISHA RAIS SAMIA UNGA79 – MWANAHARAKATI MZALENDO

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameondoka nchini Alhamisi, Septemba 19, 2024 kwenda Marekani ambako atamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA79). Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kuanzia Septemba 20-26, 2024, utafanyika jijini New York, Marekani ambapo masuala ya kiuchumi, biashara, nishati, siasa, mazingira, afya, vijana na…

Read More

Hivi ndivyo neno ‘dollar’ lilivyozaa daladala

Miji bila daladala hainogi, walijua hilo? Na kwa nini kusiwe na daladala wakati ni ngumu kwa kila mwanamjini kumiliki kipando chake? Kwa lugha ya vijana isiyo rasmi, usafiri wa daladala ndio mpango mzima, maana haubagui mtu, ni wewe, miguu na pesa yako, hata kama usafiri wenyewe baadhi ya nyakati unakengeuka misingi ya utu. Tuyaache hayo,…

Read More

Rachid Taoussi afichua dili la Simba

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Rachid Taoussi jiioni ya jana alikuwa uwanjani kuiongoza timu hiyo dhidi ya KMC katika mechi ya Ligi Kuu Bara, lakini mapema amefichua siri, kabla ya kutua klabuni hapo, alishafuatwa na Simba ili atue lakini dili likafa na Wekundu kumchukua Abdelhak Benchikha. Kocha huyo, pia alisema tangu akiwa kwao, alikuwa anazijua…

Read More

Simba, Yanga kuweka rekodi Afrika

WIKIENDI hii Yanga na Simba zina mechi za kuamua hatma zao katika michuano ya kimataifa kila mmoja akipambania rekodi zake. Wakati wakipambania rekodi, kuna matumaini makubwa yapo kuanzia kwa wachezaji, viongozi, makocha hadi mashabiki, asilimia kubwa ya kutoboa ipo wazi. Jeuri hiyo inakuja kufuatia rekodi nzuri walizonazo wawakilishi hao wa Tanzania waliosalia katika michuano ya…

Read More

Mo afanya umafia Dar, amshusha Mpanzu usiku

WAKATI Simba inaendelea kujipanga kuwang’oa Waarabu wa Libya Al Ahli Tripoli, mabosi wa klabu hiyo wana akili nyingine kubwa na bilionea Mohammed Dewji ‘MO’ amewafanyia umafia wa maana watani wao Yanga kwa kumchukua winga mmoja hatari. Mwanaspoti imepenyezewa taarifa winga Mkongomani, Ellie Mpanzu yupo hapa nchini atika hoteli moja kubwa iliyopo katikati ya Jiji, akija…

Read More