Mjumbe wa Mashariki ya Kati aonya dhidi ya kuongezeka, mambo muhimu kuendelea kwa shughuli ya makazi ya Israeli – Masuala ya Ulimwenguni

“Msururu wa milipuko kote Lebanon na maroketi yaliyorushwa kuelekea Israeli katika siku za hivi karibuni huongeza kwa tete,” alisema Tor Wennesland, Mratibu Maalum wa Mchakato wa Amani ya Mashariki ya Kati. Alizitaka pande zote “kufanya kujiepusha na hatua ambazo zitazidisha hali hiyo na kuchukua hatua za haraka za kupunguza hali hiyo.” Shughuli ya usuluhishi inaendelea…

Read More

BASHE AWATAKA WAKULIMA NA WAFUGAJI KUISHI KWA AMANI

Na Mwandishi Wetu, Songea WAZIRI  wa Kilimo Hussein Bashe amewaasa wafugaji wa jamii ya Wasukuma wanaoishi katika kata ya Ndalila Wilayani Songea, kuhakikisha kuwa wanaishi kwa amani na wakulima wa jamii zingine wilayani humo. Bashe amesema hayo akiwa katika kata ya Njalila  Wilayani Songea wakati wa mwendelezo wa ziara yake kukagua miradi ya kilimo  katika…

Read More

‘USAMBARA TOURISM FESTIVAL LITUMIKE KUHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA’

  Na Ashrack Miraji Lushoto Tanga  MKUU wa Mkoa wa Tanga, Mhe. Dkt. Batilda Buriani ameagiza Tamasha la Utalii la Usambara 2024 (Usambara Tourism Festival 2024) litumike kuhamasisha Wananchi kushiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024. Amesema hayo  alipotembelea Wilayani Lushoto akiwa na Kamati ya Usalama ya Mkoa kwa…

Read More

WAANDISHI WASAIDIZI KATA MKOA WA SINGIDA WAPIGWA MSASA

  Mjumbewa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Dkt Zakia Mohamed Abubakar akizungumza wakati alipotembelea mafunzo ya Maafisa WaandikishajiWasaidizi ngazi ya Kata katika Halmashauri ya Manispaa ya Singida leo Septemba19, 2024 katika Shule ya Sekondari Mwenge Mkoani Singida. Mkoa wa Singida naDodoma wanataraji kuanza uboreshaji septemba 25 hadi Oktoba mosi mwaka huu.  Mjumbewa Tume…

Read More

Bashe: Wakulima Ruvuma ni werevu kufuata sayansi ya kilimo

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Wakulima wa Mkoa wa Ruvuma wamepongezwa kwa kuwa werevu wa kufuata sayansi ya kilimo katika uzalishaji wa mazao. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe (Mb) wakati akizungumza kwenye Mkutano wa hadhara tarehe 19 Septemba 2024 baada ya kukagua Kituo cha kuuzia Mahindi cha Mtyangimbole, Wilaya ya Songea,…

Read More

TANGA YAJIPANGA KUONGEZA UZALISHAJI WA SAMAKI

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Balozi Dkt. Batilda Burian, akizungumza wakati akifungua mkutano maalum ukihusisha viongozi wa mkoa huo, wakuu wa wilaya, baadhi ya wafanyakazi wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi kutoka Makao Makuu jijini Dodoma na Kituo cha Tanga pamoja na wavuvi, kujadili namna bora ya kudhibiti uvuvi haramu na kukuza rasilimali za…

Read More