
Mbarawa akoshwa naTPA ujenzi wa bandari mpya ya Mbamba Bay
Waziri wa Uchukuzi Mheshimiwa Makame Mbarawa ameisifu Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) kwa utekelezaji wa ujenzi wa bandari mpya na ya kisasa ya Mbamba Bay inayojengwa pembezoni mwa Ziwa Nyasa katika wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma; akisema kuwa ujenzi huo ni sehemu ya mkakati wa Serikali wa kuboresha bandari mbalimbali hapa nchini. Akizungumza…