Kizimbani wakidaiwa kughushi msamaha wa Rais kwa wafungwa

Dar es Salaam. Aliyekuwa ofisa wa Magereza, Josephat Mkama na wenzake wawili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na makosa manne likiwamo la kughushi msamaha wa Rais kwa wafungwa. Washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni Sibuti Nyabuya na Joseph Mpangala. Kesi hiyo inayosikilizwa na Hakimu Mkazi Mkuu Anna Magutu imetajwa mahakamani hapo…

Read More

Takwimu zaonyesha umasikini waongezeka Zanzibar

Unguja. Wakati takwimu zikionyesha kiwango cha umasikini kuongezeka Zanzibar, Serikali imeainisha hatua inazochukua kukabiliana na changamoto hiyo. Kwa mujibu wa Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Zanzibar, kwa mwaka 2019/20 tathmini ya hali ya umasikini iliainisha wa mahitaji ya msingi ni asilimia 25.7 na umasikini wa chakula ni asilimia 9.3, huku wilaya nne za mikoa ya…

Read More

Kopunovic aanza kujistukia Pamba | Mwanaspoti

WAKATI presha ya kutopata ushindi kwenye Ligi Kuu Bara ikizidi kuiandama Pamba Jiji, Kocha Mkuu, Goran Kopunovic amekiri huenda mbinu zake ndiyo tatizo huku akigoma kumtupia lawama yeyote na kuahidi kujitathmini na kutimiza wajibu wake ili kuwapa furaha mashabiki. Timu hiyo ambayo haijapata ushindi chini ya kocha huyo tangu alipopewa majukumu Julai, mwaka huu akitokea…

Read More

Mikakati kupambana na magonjwa yasiyoambukiza yaanza

Dar es Salaam. Serikali imekuja na mikakati kadhaa ikilenga pia kutatua changamoto wanazokumbana kwa kundi hilo na namna ya kuishi baada ya kubaini magonjwa hayo ili kukabiliana na ongezeko la wanaougua magonjwa yasiyoambukiza. Uanzishwaji wa mitaala ya ufundishaji kuhusu magonjwa yasiyoambukiza shuleni, upimaji kwa wanafunzi, kauli nzuri za watoto kwa wazazi na upimaji wa mara…

Read More

Mchengerwa aagiza mgogoro msitu aliopewa kigogo kumalizwa

Monduli. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa, amemwagiza Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda kushughulikia mgogoro wa ardhi katika Mlima Lendikinya. Mgogoro huo unawahusisha wananchi 3,000 ambao wanadaiwa kuvamia eneo hilo. Awali, Mkuu wa Wilaya ya Monduli, Festo Kiswaga akizungumza mbele ya Waziri Mchengerwa…

Read More

Twende Butiama 2024 ni zaidi ya mbio

WAKATI ikiingia msimu wa sita mwaka huu, mbio ya Twende Butiama imezidi kunoga baada ya Benki ya Stanbic kuungana na Vodacom Tanzania kuifanikisha. Msimu huu waendesha baiskeli wa Twende Butiama wataanza safari Septemba 29 wakipita mikoa 12 huku wakitarajiwa Oktoba 14 kuwa Butiama alipozaliwa baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Mbio hiyo inayolenga kumuenzi…

Read More