DKT. BITEKO AAGIZA KIGOMA KUINGIZWA KWENYE GRIDI KABLA YA 2025

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuhakikisha linatekeleza kwa kasi miradi ya umeme itakayounganisha Mkoa wa Kigoma katika gridi ya Taifa ifikapo mwishoni mwaka huu Mkoa huo usitumie umeme unaozalishwa kwa kutumia mafuta mazito. Ametoa agizo hilo tarehe 19 Septemba 2024 mkoani Kigoma wakati…

Read More

Baba mzazi mbaroni akidaiwa kufukua kaburi la mwanaye

Kyerwa. Baba mzazi wa mtoto wa mwaka mmoja, Faston Innocent anashikiliwa na Polisi akituhumiwa kufukua kaburi la mwanaye huyo na kuweka jeneza likiwa na mwili mlangoni mwa nyumba ya babu yake. Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa, Zaituni Msofe amelieleza Mwananchi leo Septemba 19, 2024 kuwa mtoto huyo alifariki dunia kwa ugonjwa wa malaria na alizikwa…

Read More

Kiluvya yamchorea ramani Mingange | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa Stand United, ‘Chama la Wana’, Meja Mstaafu Abdul Mingange amesema mchezo wa kwanza ugenini dhidi ya Kiluvya United utampa ramani ya kikosi chake na uelekeo katika Ligi ya Championship inayoanza kesho Septemba 21. Chama la Wana litaanzia ugenini keshokutwa (Jumapili) katika Uwanja wa Mabatini, Pwani dhidi ya Kiluvya United ya jijini Dar…

Read More

VIDEO: ‘Boni Yai’ apandishwa kizimbani Kisutu

Dar es Salaam. Aliyekuwa meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob maarufu kama ‘Boni Yai’ tayari amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam. Ni jioni ya leo Alhamisi, Septemba 19, 2024 na anasubiri hakimu aingie mahakamani kwa ajili ya kusomewa mashtaka yanayomkabili. Jopo la waendesha mashtaka mawakili wa Serikali wakiongozwa na…

Read More

UEFA CHAMPIONS LEAGUE KUKUPA MAOKOTO LEO

  LIGI ya mabingwa barani ulaya kukupa mkwanja leo kupitia michezo mikali ambayo inakwenda kupigwa katika viwanja mbalimbali usiku wa leo, Kupitia Meridianbet unaweza kubashiri michezo hii na kunyakua maokoto ya kutosha. Michezo kadhaa inatarajiwa kuchezwa usiku wa leo kwenye ligi ya mabingwa ulaya ambapo wakongwe wa michezo ya kubashiri Meridianbet wakiwa wamejidhatiti kwelikweli kwani wamemwaga Odds…

Read More

Hii hapa tofauti ya Dube, Baleke

WATAALAM wa soka nchini, wamechambua uchezaji wa mastraika wa Yanga, Jean Baleke na Prince Dube, ubora na upungufu walionao, ikitegemea zaidi Kocha Miguel Gamondi anataka nini kutoka kwao, ili kuwatumia kwa mechi tofauti. Nyota hao wamesajiliwa msimu huu kuiongezea nguvu safu ya ushambuliaji ya timu hiyo yenye Clement Mzize na Kennedy Musonda na bado hawajapata…

Read More

Miradi ya umeme kusisimua uchumi wa Kigoma

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (Rea), Hassan Saidy amesema vijiji 279 kati ya 306 vya Mkoa wa Kigoma vimeunganishwa na umeme. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari leo Alhamisi Septemba 19, 2024 na Rea imeeleza mbali na vijiji hivyo, mchakato wa kupeleka huduma ya umeme katika vitongoji 595 imeanza na…

Read More