Kriketi T20… Dar yaibeba Malawi kufuzu kombe la dunia

MALAWI ndio pekee iliyotoa upinzani mkali kwa Tanzania katika mbio za kufuzu fainali za Kombe la Dunia kwa kriketi ya mizunguko 20 ambapo Tanzania ilishinda kwa mikimbio 19 tu katika mchezo wake wa hitimisho. Kwa Tanzania ilikuwa ni jambo linalotegemewa kushinda michezo yote mitano, lakini haikuwa rahisi mbele ya Malawi ambayo michuano hii imewapa tija…

Read More

Makambo mguu sawa Ujerumani | Mwanaspoti

KINDA la FCA Darmstadt ya Ujerumani, Athuman Masumbuko ‘Makambo Jr ‘ amesema ameanza kuzoea Ligi na mazingira ya nchi hiyo ambayo ni maraya kwanza kwake. Timu hiyo hadi sasa imecheza mechi tisa ikikusanya pointi 18 na nyota huyo akianza kwenye baadhi ya mechi na kufunga bao moja na assisti moja. Makambo Jr aliliambia Mwanaspoti kuwa…

Read More

Kocha Mbeya Kwanza acharuka | Mwanaspoti

LICHA ya Mbeya Kwanza kupoteza michezo yote miwili mfululizo katika Ligi ya Championship, kocha mkuu wa timu hiyo, Emmanuel Masawe amesema, hawakuzidiwa kwa uwezo na wapinzani wao isipokuwa wenyeji wamekuwa wakilazimisha ushindi. Mbeya Kwanza iliyowahi kushiriki Ligi Kuu msimu wa 2021/22 kisha kushuka daraja, imeanza Ligi ya Championship kiugumu baada ya kupoteza michezo miwili mfululizo,…

Read More

Neema, Vicky wafichua kinachowabeba | Mwanaspoti

Mchezaji wa timu ya taifa ya gofu wanawake, Neema Olomi ameiita michuano ya Lina PG Tour ni ‘tanua mbavu’ kwa wacheza gofu wanawake kwani inawalazimisha kutumia ujuzi na maarifa zaidi ili kufanya vizuri. Olomi na mchezaji mwenzake Vicky Elias wamesema mjini Moshi jana kuwa ugumu huu ndiyo siri ya wao kufanya vizuri katika mashindano makubwa…

Read More

Said Jr amfuata Msuva Iraq

KIUNGO Mshambuliaji kinda wa Tanzania, Said Khamis ‘Said Jr’ amepata shavu la kusajiliwa Peshmarga Sulaymaniya SC inayoshiriki Ligi daraja la kwanza nchini Iraq akiungana na Simon Msuva anayetumikia Al Talaba. Nyota huyo amesajiliwa na timu hiyo akitokea FK Jedinstvo ya Serbia iliyokuwa inashiriki Ligi daraja la kwanza nchini humo. Mwanaspoti linafahamu kuwa mshambuliaji huyo amepewa…

Read More

Hadhara anahitaji msaada, amlilia Samia

MKALI wa kucheza danadana, Hadhara Charles, hali yake si nzuri kama alivyozungumza na Mwanaspoti katika mahojiano gazeti la juzi Jumamosi, huku mwenyewe akikiri wakati mwingine umaarufu alionao umekuwa kama mzigo kwake. Hadhara ambaye alijipatia umaarufu kutokana na uwezo wake wa kuchezea mpira kwa ustadi mkubwa kwa kutumia viungo mbalimbali vya mwili, licha ya kujulikana anajikuta…

Read More

Okutu, Mpole wana vita Pamba Jiji

MSHAMBULIAJI wa Pamba, Mghana Eric Okutu amesema hafurahishwi na mwenendo wa timu hiyo katika Ligi Kuu Bara hadi sasa, huku akiweka wazi ana kazi kubwa ya kufanya ili kupambana kucheza kikosi cha kwanza na nyota mwenzake, George Mpole. Nyota huyo amejiunga na timu hiyo msimu huu baada ya kuachana na Tabora United aliyojiunga nayo mara…

Read More

Yanga kazi ndo imeanza | Mwanaspoti

KIKOSI cha Yanga usiku wa jana kilikuwa uwanjani kuumana na KMC katika mechi ya Ligi Kuu Bara na sasa kinajiweka sawa kukabiliana na Pamba Jiji, huku kocha wa timu hiyo, Miguel Gamondi akisema kazi ndo imeanza kwani anamalizia ligi kisha kusikilizia droo ya Ligi ya Mabingwa Afrika ajue ataangukia kundi lipi. Yanga ni moja ya…

Read More