WAZIRI JAFO:MARUFUKU WATANZANIA KUCHANGANYA MAZAO
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Jafo akiwa na Viongozi mbalimbali wa Serikali na Chama wakitembelea na kukagua Ghala la Mpako linalotumia Mfumo wa Stakabadhi liilopo Wilaya ya Liwale ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake Maalum katika Mkoa wa Lindi kwa lengo kukagua utekekelezaji wa Miradi ya Maendeleo katika Awamu ya Sita chini…