DC Shaka awaonya wanaojichukulia Sheria mkononi.

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Shaka Hamdu Shaka ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya Usalama wa Wilaya hiyo amewataka wananchi kuacha kujichukulia Sheria mkononi badala yake wafuate utaratibu wa kufikisha changamoto zao kwenye mamlaka husika ili zipatiwe ufumbuzi. DC Shaka ameyasema hayo wakati akizungunza na wananchi wa Kijiji cha Dumbalume kilichopo Kata ya Berega baada…

Read More

KUMBUKUMBU YA MIAKA 17 YA KIFO CHA MZEE S. T. NATHAN

  Ni Dakika, Saa, Siku, Wiki, Mwezi, Mwaka na hatimaye mika 17 sasa imetimia tangu Mzee Shauri Timoth Nathan (18/08/1925 – 18/09/2007) ututangulie Mbele za haki kama ulivyotutangulia kuja duniani. Nimajonzi sana kwetu na pengo lako halijazibika hadi hivi leo. Unakumbukwa na wengi sana maana ulikuwa ni mhimili mkuu katika familia, kipekee unakunbukwa na Mke wako Mary…

Read More

Mbarawa akoshwa na TPA ujenzi wa bandari mpya ya Mbamba Bay

Waziri wa Uchukuzi Makame Mbarawa ameipongeza Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) kwa utekelezaji wa ujenzi wa bandari mpya na ya kisasa ya Mbamba Bay inayojengwa pembezoni mwa Ziwa Nyasa katika wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma huku akisisitiza kuwa ujenzi huo ni sehemu ya mkakati wa Serikali wa kuboresha bandari mbalimbali hapa nchini. Anaripoti…

Read More

Warioba: Kilichotokea uchaguzi wa 2019, 2020 hakikuwa cha kawaida

Dar es Salaam. Watanzania wanajiandaa na uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 24, 2024, huku kumbukumbu za kuvurugika kwa uchaguzi uliopita wa mwaka 2019 na ule wa 2020 zikiendelea kuumiza vichwani mwao. Wadau wa siasa kila wanapopata fursa kwenye majukwaa hukumbushia matukio yaliyotikisa kwenye uchaguzi huo, huku wakitahadharisha yasitokee tena kwani, yameacha doa…

Read More

WAZIRI MHAGAMA AMPONGEZA DK.RAIS SAMIA,UINGEREZA KUTOKOMEZA MAGONJWA YASIYOPEWA KIPAUMBELE

    Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Afya Jenista Mhagama amesema anamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na Serikali ya Uingereza kwa kuamua kufanya kazi ya kutokomeza magonjwa haya amabyohayapewi kipaumbele. Ametoa shukrani hizo  Septemba 18, 2024 wakati wakiwa katika ziara pamoja na Princess Sophie (Duchess of Edinburgh)…

Read More

Profile yazindua MRBA | Mwanaspoti

Profile ilizinduka katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Mwanza baada ya kuifunga  Oratorio kwa pointi 71-40 kwenye Uwanja wa Mirongo. Profile katika mchezo wao, Jumapili iliyopita  ilifungwa na  Planet kwa pointi 49-43,  huku  Oratory ikifungwa  na CUHAS kwa pointi 58-46 na Zakayo Omugo wa Profile aliongoza kwa kufunga pointi 18. Eagle iliifunga Young Profile kwa…

Read More

Mabalozi wasisitiza ushirikishwaji wananchi wa Tanzania

Dar es Salaam. Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao nchini Tanzania wamesisitiza umuhimu wa ushirikishwaji wa wananchi katika mchakato wa kidemokrasia ili kuimarisha umoja na amani katika taifa hilo. Mabalozi hao wamebainisha hayo leo Alhamisi Septemba 19, 2024 wakati wa mkutano wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Demokrasia inayoadhimishwa kila Septemba 15 na maadhimisho hayo yameambatana…

Read More

UJENZI WA BANDARI YA MBAMBABAY KUIFUNGUA RUVUMA KIUCHUMI

Na Mwandishi Wetu MKUU wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Ahmed Abbas Ahmed amesema utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Bandari ya kisasa ya Mbambabay utakaogharimu Sh.Bilioni 81, utaufungua Mkoa kiuchumi kwa kuuza bidhaa mbalimbali nchi za Malawi na Msumbiji. Kanali Ahmed aliyasema hayo jana alipokuwa akikagua utayari wa Wilaya za Mkoa huo kuhusu ziara ya…

Read More