Mashambulizi mengine ya kielektroniki yaitikisa Lebanon – DW – 19.09.2024

Vifaa vya mawasiliano vikiwemo, simu za upepo zinazofahamika pia kama radio call na taa zinazotumia jua kuzalisha umeme, vililipuka Jumatano ikiwa ni saa kadhaa baada ya shambulio la awali lililovilenga vifaa vya mawasiliano vinavyotumiwa na wanamgambo wa Hezbollah nchini Lebanon. Shambulio la awali lilisababisha vifo vya watu tisa na takriban watu 2800 walijeruhiwa. Mashambulizi hayo…

Read More

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa laitaka Israel kukomesha 'uwepo kinyume cha sheria' katika eneo la Palestina linalokaliwa kwa mabavu – Masuala ya Kimataifa

Huku kukiwa na kura zilizorekodiwa za mataifa 124 ya ndio, 14 yakipinga, na 43 yakijiepusha, azimio hilo linaitaka Israel kufuata sheria za kimataifa na kuondoa vikosi vyake vya kijeshi, kusitisha mara moja shughuli zote za makazi mapya, kuwahamisha walowezi wote kutoka katika ardhi inayokaliwa kwa mabavu na kusambaratisha sehemu zao. ya ukuta wa kujitenga ulioujenga…

Read More

Umeme jua unavyoweza kumbeba mkulima wa kilimo cha umwagiliaji

Dar es Salaam. Katika jitihada za kukabiliana na changamoto ya mabadiliko ya tabianchi na gharama za uzalishaji kwenye sekta ya kilimo, matumizi ya nishati ya umeme jua hasa kwenye umwagiliaji yanatazamwa kama suluhisho. Teknolojia hiyo sio tu inapunguza gharama za kilimo, bali inachangia kuongeza uzalishaji wa mazao, hasa katika maeneo yenye ukame na upatikanaji mdogo…

Read More

CHANGAMOTO YA USAFIRI WATUMISHI WIZARA YA ARDHI KUPUNGUA

Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Bw. Seushi Mbuli akikabidhiwa nyaraka za umiliki wa basi aina ya TATA kutoka kwa Meneja Uendeshaji wa Kampuni ya TATA Africa Holdings (Tanzania) Limited Bi. Muareen Kiputa leo tarehe 19 Sept 2024. Katikati ni Mkurugenzi Msaidizi Utawala Bw. Simbani Liganga…

Read More

Sababu uzalishaji madini ya vito vya thamani kupaa

Ili ukuaji wa ajira zinazozalishwa nchini na mapato yatokanayo na madini uonekane, uongezaji thamani umeendelea kuwa jambo linalopigiwa chapuo na watu tofauti. Uongezaji thamani utaifanya nchi kunufaika zaidi na kuingiza fedha nyingi kwa kuuza bidhaa zilizotengenezwa badala ya kuuza madini ghafi. Rai hii inatolewa wakati ambao uzalishaji wa madini ya vito vya thamani umeongezeka hadi…

Read More

DK.JAFO APIGA MAARUFUKU KUCHANGANYA MAZAO

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Jafo akiwa na Viongozi mbalimbali wa Serikali na Chama  wakitembelea na kukagua Ghala la Mpako linalotumia Mfumo wa Stakabadhi liilopo Wilaya ya Liwale ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake Maalum katika Mkoa wa  Lindi kwa lengo kukagua utekekelezaji wa Miradi ya Maendeleo katika Awamu ya Sita chini…

Read More