Mwandishi wa habari The Guardian Morogoro afariki Kwa ajali

Morogoro. Mwandishi wa habari aliyekuwa akiandikia Gazeti la The Guardian mkoani Morogoro, Michael Sikapundwa amefariki dunia baada ya kupata ajali ya gari wakati akirudi nyumbani kutoka kazini. Mwenyekiti wa klabu ya waandishi wa habari mkoani Morogoro, Nickson Mkilanya amethibitisha kifo cha mwandishi huyo ambaye siku chache zilizopita amerudi akitokea China alikokwenda kusoma. Mkilanya amesema, Sikapundwa…

Read More

Sekta ya huduma inavyoshikilia uchumi wa Zanzibar

Wakati sekta ya huduma imeendelea kubeba uchumi wa Zanzibar na pato la Taifa lilikua (GDP), wadau wanataja maeneo ya kuboresha kuchochea ukuaji zaidi wa sekta hiyo. Ripoti mpya iliyotolewa na Ofisi ya Mtakwimu Mkuu Zanzibar (OCGS) ya Zanzibar Abstract 2023 inaonyesha ukuaji wa asilimia 12 wa Pato halisi la Taifa la Zanzibar hadi kufikia Sh6.04…

Read More

Benja FC wababe wa Tulia Trust Uyole Cup 2024

TIMU ya soka ya Benja FC imetwaa ubingwa wa michuano ya Tulia Trust Uyole Cup 2024 iliyofikia tamati leo kwenye Uwanja wa Mwawinji, uliopo Uyole Mbeya Mjini. Benja imetwaa ubingwa huo baada ya kuichapa Mbeya Smart Soccer Academy kwa mabao 5-4 yaliyofungwa kwa penalti baada ya kumaliza dakika 90 zikiwa zimetoshana nguvu kwa sare ya…

Read More

UN yaonya juu ya kuongezeka kwa mgogoro chini ya utawala wa kimabavu wa Taliban – Masuala ya Ulimwenguni

Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu nchini Afghanistan, Roza Otunbayeva, alisema watawala wakuu wa nchi hiyo ambao wameweka tafsiri yao wenyewe ya sheria kali za Kiislamu “wametoa kipindi cha utulivu ambacho hakijaonekana katika miongo kadhaa” nchini Afghanistan, lakini idadi ya watu iko karibu. hatari ya mzozo mbaya wa kibinadamu na maendeleo kadiri ufadhili wa kimataifa unavyopungua….

Read More