Simulizi ya kijana anayewasaidia nyoka wasiuawe na binadamu

Morogoro. Ukistaajabu ya Mussa, hutayaona ya Filauni. Ndivyo unaweza kuelezea kisa cha kijana huyu anayejiita ‘rafiki wa nyoka’ kutokana na ukaribu alioujenga na mnyama huyo. Nyoka ni kiumbe hatari anayeogopwa na wengi kutokana na asili yake ya kuuma na sumu yake kuweza kusababisha kifo au kumdhuru aliyeumwa. Anapoonekana kwenye makazi ya watu, anakuwa adui wa…

Read More

Simba wamleta Micho mechi na Waarabu

SIMBA imeingia kambini tangu jana jijini Dar es Salaam tayari kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya Al Ahli Tripoli ya Libya wa kufuzu hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika utakaopigwa Jumapili wiki hii kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa ikiwa inahitaji ushindi wa aina yoyote ili kutinga hatua hiyo. Milutin Sredojevic ‘Micho’…

Read More

Mtasingwa ataja sababu ya kuitosa Yanga

“MUDA ndio muamuzi wa kila jambo. Mengi yalizungumzwa juu yangu wakati wa dirisha la usajili, lakini wakati umeamua mimi kuwa hapa nilipo,” ni maneno ya kiungo wa Azam FC, Adolf Mtasingwa Bitegeko alipokuwa akijibu swali la kuhusishwa na Yanga kwenye usajili wa dirisha kubwa msimu huu. Mtasingwa ambaye ameongeza mkataba wa miaka miwili wa kuendelea…

Read More

Dhamana ya ‘Boni Yai’ yadunda, asota rumande

Dar es Salaam. Wakati Jeshi la Polisi likikiri kumshikilia kada wa Chadema na mwanamitandao, Boniface Jacob maarufu ‘Boni Yai’, wakili wa chama hicho, Hekima Mwasipu amesema mteja wake amekosa dhamana. Mwasipu amesema, Jacob anatuhumiwa kwa kosa la kusambaza taarifa za uongo na sababu za kukosa dhamana jana Septemba 18, 2024 mlalamikaji ni makao makuu ya…

Read More

MWIGULU AAGIZA MAMBO 11 MKUTANO WA WATAALAM USTAWI WA JAMII

Na WMJJWM, Kilimanjaro Waziri wa Fedha Mhe. Mwigulu Nchemba amewataka Wataalam wa Ustawi wa Jamii mchini kwa kushirikiana na wadau kuandaa na kutekeleza mkakati wa kuwaondoa Watoto wanaoishi na kufanya Kazi Mitaani ngazi ya Taifa. Maelekezo hayo yametolewa kwa niaba yake na Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Hamad Hassan Chande wakati akifungua mkutano wa mwaka…

Read More

DC MPOGOLO ATAKA VIONGOZI KUWA NA MAHUSIANO MEMA

   Mkuu wa wilaya ya ilala Edward Mpogolo amewataka viongozi wa chama na serikali kuwa na mahusiano mazuri katika kazi zao. Akiongea na viongozi wa chama na serikali katika ziara yake kwenye kata ya liwiti, tabata na kimanga Mpogolo ameeleza mahusiano ya viongozi hao yanasaidia kuelewa kazi zinazofanywa katika miradi ya maendeleo hivyo wasione ugeni…

Read More