Polisi walivyotinga kupekua nyumbani kwa Boni Yai

Dar es Salaam. Msafara wa magari ya polisi uliombeba aliyekuwa meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob maarufu ‘Bon Yai’ ukiwasili nyumbani kwake Mbezi Msakuzi kwa ajili ya upekuzi. Msemaji wa Polisi, David Misime amesema wanamshikilia kwa makosa mbalimbali ya jinai. “Jeshi la Polisi limemkamata na linamshikilia Boniface Jacob, mkazi wa Mbezi kwa Msakuzi, jijini…

Read More

Gamondi ayaona mabao Zanzibar | Mwanaspoti

YANGA inaondoka saa 3:00 asubuhi ya kesho Alhamisi na itatumia masaa mawili tu kufika Unguja, Zanzibar tayari kwa mchezo wa marudiano wa raundio ya pili wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya CBE ya Ethiopia, lakini kuna mazoezi flani wameyafanya ndani ya siku mbili yamemfanya kocha Miguel Gamondi kusema sasa mabao yatafungwa. Kama ulifika mazoezini Yanga…

Read More

Cheza The Tipsy Tourist kasino uwe milionea

  Safari za utalii huwa zinanoga sana haswa mnapokuwa na vibe la kutosha, Meridianbet inakupeleka kutalii ukiwa na waongozaji mahari kwenye mchezo wao mpya wa kasino ya mtandaoni wa utalii. The Tipsy Tourist ni mchezo wa sloti ya kasino ya mtandaoni Meridianbet kutoka kwa watayarishaji BetSoft – Aina kadhaa za bonasi zinakungojea kwenye mchezo huu….

Read More

Tanzania yaendeleza mikakati kufikia usawa wa kijinsia

Dar es Salaam. Ili kufikia usawa wa kijinsia nchini kupitia Programu ya Jukwaa la Kizazi chenye Usawa (GEF), Tanzania imejizatiti kutekeleza uwiano sawa kati ya wanaume na wanawake. Kamati ya Kitaifa ya Ushauri (GEF) ilianzishwa na Rais Samia Suluhu Hassan Desemba 2021 kwa ajili kufuatilia na kushauri kuhusu maendeleo ya utekelezaji wa jukwaa hilo. Akizungumza…

Read More