WANA-DGSS WAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA KIDEMOKRASIA IKIHIMIZA USHIRIKI WA WANAWAKE KATIKA MAAMUZI

Septemba 15 ya kila mwaka, wananchi kote duniani huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Demokrasia, siku ambayo inelanga kukumbusha na kuhimiza majukumu na wajibu wa kukuza na kudumisha kanuni za demokrasia duniani kote. Leo Jumatano Septemba 18, 2024 wadau wa Semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS) wameitumia siku hiyo kama sehemu ya maadhimisho ambapo kwa pamoja…

Read More

Yanga, Simba zavutana mashati kwa Mpanzu, iko hivi!

WAKATI winga Mkongomani, Elie Mpanzu, alitarajiwa kutua usiku wa jana nchini ikielezwa kwa ajili ya kumalizana na Simba, inaelezwa mabosi wa Yanga nao wamejitosa kwa nyota huyo. Hii yote ni safari nzito ya maandalizi ya dirisha dogo na kama ulidhani ni mapema basi umekosea, kwani Watani huko wameshaanza kuliamsha mapema. Iko hivi. Mwanaspoti iliwahi kuripoti…

Read More

LHRC yatoa kauli kukamatwa kwa ‘Boni Yai’

Dar es Salaam. Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimetoa wito kwa Jeshi la Polisi kufafanua tuhuma zinazomkabili  aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob maarufu Boni Yai na kuhakikisha uchunguzi unafanywa kwa uwazi, huku sheria ikifuata mkondo wake. Pia kimetaka sheria na taratibu zizingatiwe katika mchakato wa ukamataji, ili kupunguza taharuki kwa wananchi….

Read More

WANANCHI MNAFANYA KAZI ZENU KWENYE MTANDAO MPO SALAMA SERIKALI IMETUNGA SHERIA KULINDA DATA ZA MTU BINAFSI

Na. Vero Ignatus Arusha Waziri wa Habari ,Mawasiliano Teknolojia ya habari Jerry Slaa, amefungua kongamano wa siku mbili (Connect2Connect Summit)ambapo umewakutanisha wadau wote wa Mawasiliano nchini pamoja na wadau wengine ambapo amesema Watanzania zaidi ya Mil.75 wana simu za mkononi 35% wanamtandao wa intaneti ambapo mwaka mei 2023 Serikali ilizindua mkakati wa ujenzi wa minara…

Read More

HADITHIL Bomu Mkononi – 5

JUMAPILI ilipowadia Amina akanipigia simu kunikumbusha juu ya ile ahadi yetu. Nikamwambia kuwa ninaikumbuka. “Tutakapokuwa wote nitakupigia,” nikamwambia nilimaanisha nitakapokuwa na mchumba wangu Musa nitampigia ili aje. Saa moja usiku Musa akanipigia simu kunijulisha kuwa ameshafika hapo hotelini. Hapakuwa mbali sana na nyumbani kwetu. Na mimi nikampigia Amina. Nikamwambia nikutane naye hapo hotelini. Baada ya…

Read More

Kiini ndoa kuvunjika mapema hiki hapa 

Dar es Salaam. Wadau wa masuala ya saikolojia, wanasheria, wanazuoni na wanajamii wamebainisha sababu kadhaa zinazochangia ndoa kuvunjika mapema baada ya kufungwa, hususan mijini. Wameeleza hayo walipochangia mjadala wa Mwananchi X Space leo Jumatano Septemba 18, 2024 ulioongozwa na mada isemayo: ‘Nini kinachochea ndoa zinazofungwa mijini kuvunjika mapema?’ Mada katika mjadala huo ulioandaliwa na Kampuni…

Read More

Madina, Wanyeche, OLomi kuwania ubingwa Afrika

Madina Iddi wa Arusha ndiye kinara wa orodha ya wachezaji nyota waliochaguliwa kuunda timu ya taifa ya wanawake ya gofu itakayoshiriki mashindano ya ubingwa wa Afrika nchini Morocco mwisho wa mwaka. Wengine waliochaguliwa ni Hawa Wanyeche wa Dar es Salaam na Neema Olomi  wa Arusha ambao kwa mujibu wa Rais wa Chama cha Gofu ya…

Read More