Kamisheni ya Ardhi yalalamikiwa ucheleweshaji wa hatimiliki
Unguja. Baadhi ya wananchi wameiomba Kamisheni ya Ardhi kubadilika kutokana na mzunguko mrefu uliopo kwa watu wanaotafuta hatimiliki za ardhi za kilimo. Akizungumza leo Septemba 18, 2024 katika uzinduzi wa utoaji hati hizo, Aziza Ibrahim Ahmed, mkazi wa Kwa Goa amesema ni mwaka wa sita sasa amekuwa akihangaika kutafuta hati hiyo. Amesema alikata tamaa ya…