Serikali kuimarisha sekta ya afya kwa mama na mtoto, Tanzania kuandaa mkutano wa 11 wa Merck Foundation

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Serikali ya Tanzania imeendelea kuwekeza katika sekta ya afya, hasa huduma za mama na mtoto, jambo lililoifanya nchi kuimarika katika utekelezaji wa malengo ya maendeleo ya kimataifa, yakiwemo Malengo ya Milenia na Maendeleo Endelevu (SDGs). Uwekezaji huu umeiwezesha Tanzania kuwa mwenyeji wa Mkutano wa 11 wa Taasisi ya Merck Foundation,…

Read More

Ishu ya Mutale na jezi ya CAF

ISHU ya winga wa Simba, Joshua Mutale kuvaa jezi namba 26 katika mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF), timu hiyo ikicheza dhidi ya Al Ahli Tripoli ya Libya, ilikuwa ni kuchelewa kubadalisha katika mfumo. Jezi namba saba anayoivaa Mutale katika  Ligi Kuu Bara, katika michuano ya CAF ilikuwa inatumiwa na aliyekuwa mshambuliaji wa timu…

Read More

Mauaji ya familia yatikisa Dodoma

Dodoma. Katika kipindi cha takribani wiki tatu, Wilaya ya Dodoma imeshuhudia matukio ya kutisha ya uvunjifu wa amani baada ya familia tatu kuvamiwa nyumbani na kushambuliwa na watu wasiojulikana. Mashambulizi haya yaliyotokea kati ya Agosti 28, 2024 na Septemba 16, yamesababisha watu sita kupoteza maisha, huku wengine wanne wakijeruhiwa. Katika baadhi ya matukio hayo yaliyotokea…

Read More

Mwaka Mmoja Baada ya Utakaso wa Kikabila – Masuala ya Ulimwenguni

Hayk Harutyunyan, mpiga picha mwenye umri wa miaka 22 aliyehamishwa kutoka Nagorno-Karabakh, ana ufunguo wa nyumba yake huko Nagorno-Karabakh. Tattoo ya monument “Sisi ni milima yetu,” ishara ya Nagorno-Karabakh, inaweza kuonekana kwenye mkono wake. Credit: Gayane Yenokian/IPS. na Nazenik Saroyan (yerevan, Armenia) Jumatano, Septemba 18, 2024 Inter Press Service YEREVAN, Armenia, Septemba 18 (IPS) –…

Read More

Tauossi ataja mambo matatu, Azam ikiivaa KMC

KIKOSI cha Azam FC kinatarajiwa kushuka uwanjani kesho jioni kuvaana na KMC katika mechi ya Ligi Kuu Bara, huku kocha Rachid Taoussi akifichua kuwa ameanza kuielewa ligi baada ya kuisoma na kubaini anahitaji mambo matatu kutambulisha falsafa yake. Rachid aliyeanza kibarua kwa suluhu na Pamba Jiji, alisema mambo anayotaka wachezaji wake wayafanye wakati wakikabiliana na KMC…

Read More

RAIS SAMIA KUUFUNGUA MKOA WA KIGOMA KIUCHUMI – DKT. BITEKO

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Biteko amesema Serikali inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuipatia Kigoma miradi ya maendeleo na fursa mbalimbali ili kuufungua mkoa huo kiuchumi. Akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Kata ya Kasanda Wilaya ya Kakonko leo Septemba 18, 2024 Dkt. Biteko amesema kuwa Serikali…

Read More

‘Boni Yai’ adaiwa kukamatwa na Polisi, wenyewe wakana

Dar es Salaam. Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikisema kada wake aliyekuwa meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob maarufu ‘Boni Yai’ amekamatwa na Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamanda wa Polisi wa Kinondoni, Mtatiro Kitwinkwi amesema hana taarifa. Akizungumza na Mwananchi Kamanda Kitwinkwi kuhusu sakata hilo amesema: “Hapana, sina taarifa.”…

Read More