Gadiel aanza kazi Chippa United, Majogoro kicheko

KIUNGO mkabaji wa Chippa United, Baraka Majogoro amefurahishwa kucheza na Mtanzania mwenzake beki Gadiel Michael aliyejiunga na timu hiyo, akiamini kuna kitu kikubwa kitaongezeka. Gadiel alijiunga na timu hiyo kwa mkataba wa mwaka mmoja akitokea Cape Town Spurs ya nchini humo ambapo Majogoro amesema amepata mtu wa kushauriana, hivyo anaamini watafanya kazi kwa ubora wa…

Read More

WAZIRI MCHENGERWA ATAKA UDHIBITI WA MPOX – MIPAKANI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa amewaagiza Wakuu wa Mikoa ya pembezoni mwa nchi na mipakani kuimarisha zaidi ulinzi na usalama wa mipaka ili kujilinda na Homa ya nyani ‘Mpox’ kuweza kuingia nchini. Mhe. Mchengerwa ametoa maagizo hayo leo Jumatano Septemba 18, 2024 wakati wa…

Read More

Boni Yai adaiwa kukamatwa na Polisi, wenyewe wakana

Dar es Salaam. Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikisema kada wake aliyekuwa meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob maarufu ‘Boni Yai’ amekamatwa na Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamanda wa Polisi wa Kinondoni, Mtatiro Kitwinkwi amesema hana taarifa. Akizungumza na Mwananchi Kamanda Kitwinkwi kuhusu sakata hilo amesema: “Hapana, sina taarifa.”…

Read More

Mziki wa Keyekeh wamkuna Aussems

KOCHA wa Singida Black Stars, Patricks Aussems amempongeza Emmanuel Keyekeh aliyetwaa tuzo ya mchezaji bora wa mechi mara tatu katika michezo minne ya Ligi Kuu Bara akisema inatakiwa kuwa chachu kwa Mghana huyo kufanya makubwa zaidi. Keyekeh ndiye aliyewafanya mashabiki wa Pamba Jiji kuondoka juzi wakiwa vichwa chini kwenye uwanja wa nyumbani, CCM Kirambu baada…

Read More

Wizara ya Katiba, TLS wakutana, wakubaliana haya

Baraza la Uongozi la Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) likiongozwa na rais wake, Boniface Mwabukusi wamekubaliana na Wizara ya Katiba na Sheria chini ya Waziri wake, Profesa Palamagamba Kabudi kushirikiana katika utekelezaji wa majukumu yanayohusu sekta ya sheria kwa kuzingatia mipaka na taratibu kwa maslahi mapana ya Taifa. Makubaliano hayo yamefikiwa jana Jumanne, Septemba 17,…

Read More

Mashujaa ni mapigo na mwendo tu Ligi Kuu Bara

MASHUJAA wana kauli mbiu yao ya ‘Mapigo na Mwendo’ na hadi sasa Ligi Kuu Bara ikiwa raundi ya nne kikosi hicho kipo nafasi ya pili katika msimamo na mmoja wa makipa wa timu hiyo, Erick Johora amefichua kuwa presha waliyoanza nayo imeondoka baada ya kugawa dozi zilizowaongezea mzuka. Mashujaa imevuna pointi saba katika mechi tatu,…

Read More

Makundi yenye itikadi kali yanawaua raia Burkina Faso – DW – 18.09.2024

Tangu Februari mwaka 2024, HRW imesema kwamba  wapiganaji wa  itikadi kali  wamefanya mashambulizi saba, ambayo yaliua takriban raia 128 na kukiuka sheria za kimataifa za kibinadamu. Ilaria Allegrozzi, mtafiti mwandamizi wa shirika hilo katika kanda ya Sahel amesema kunashuhudiwa ongezeko la ghasia na mauaji vinavyoendeshwa na makundi yenye itikadi kali  nchini  Burkina Faso  na kwamba huo…

Read More