Ushindi dhidi ya Coastal wampa jeuri Zahera

USHINDI wa kwanza ilioupata Namungo mbele ya Coastal Union katika mechi ya Ligi Kuu Bara, umemfanya kocha wa timu hiyo kutamba ameanza kupata mwanga baada ya awali kupoteza michezo mitatu mfululizo iliyomvuruga akili. Namungo ikicheza ugenini dhidi ya Coastal kwenye Uwanja wa KMC, Dar es Salaam ilishinda mabao 2-0 yaliyofungwa na Ritch Nkoli na Pius…

Read More

Rais samia amedhamiria kuifungua Kigoma – Dkt. Biteko

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Biteko amesema Serikali inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuipatia Kigoma miradi ya maendeleo na fursa mbalimbali ili kuufungua mkoa huo kiuchumi. Akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Kata ya Kasanda Wilaya ya Kakonko leo Septemba 18, 2024 Dkt. Biteko amesema kuwa Serikali…

Read More

MAHINDI YASIYO NA UBORA KUTAFUTIWA SOKO KWA AJILI YA MIFUGO

  WAZIRI wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) amewahamasisha wakulima wa mahindi mkoani Ruvuma kuhifadhi mahindi ambayo hayana kiwango, zikiwemo pumba, ili kutafutiwa soko kwa ajili ya kulisha mifugo. Amesema hayo leo tarehe 18 Septemba 2024 wakati akiwa katika ziara mkoani Ruvuma alipotembelea Kituo cha Ununuzi wa Mahindi cha Kizuka mkoani humo.  “Katika magunia 340…

Read More

Bunge laanzisha mchakato kumwondoa Rais Macron

  OFISI ya Bunge la taifa Jumanne Septema 17, 2024 imetoka taarifa juu mchakato wa kutimuliwa kwa Rais Emmanuel Macron uliowasilishwa na baadhi ya waunge wa chama cha New Popular Front. Wakati Ufaransa inasubiri serikali yake mpya kwa miezi miwili, chama cha NFP kimesema kwamba mkuu wa nchi anafanya “mapinduzi dhidi ya demokrasia”. Hata hivyo,…

Read More

CHEZA THE TIPSY TOURIST USHINDE MAMILIONI

SAFARI za utalii huwa zinanoga sana haswa mnapokuwa na vibe la kutosha, Meridianbet inakupeleka kutalii ukiwa na waongozaji mahari kwenye mchezo wao mpya wa kasino ya mtandaoni wa utalii. Kuna mizunguko ya bure na alama za porini za ushindi, bonasi ya kubashiri na bonasi maalum ya Drink Me. Kwenye kasino ya mtandaoni hii mchanganyiko wote…

Read More

RAIS SAMIA AMEDHAMIRIA KUIFUNGUA KIGOMA – DKT. BITEKO

Atembelea Hospitali ya Wilaya Kakonko Ahimiza Wananchi Kuendelea Kufanyakazi kwa Bidii Kakonko Yazalisha Chakula Ziada Tani 81,000 Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Biteko amesema Serikali inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuipatia Kigoma miradi ya maendeleo na fursa…

Read More