Miili yote ajali ya mtumbwi Ziwa Victoria yapatikana

Bunda. Miili ya watu watatu kati ya watano waliozama katika Ziwa Victoria, baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria kupasuka imepatikana, hivyo kuhitimisha kazi ya utafutaji iliyodumu kwa takriban siku nne. Kupatikana kwa miili hiyo kunafanya idadi ya watu waliofariki dunia kwenye ajali hiyo iliyotokea Septemba 15, 2024 kufikia sita na manusura 14. Mkuu wa Wilaya ya…

Read More

DKT.DIMWA : ACHAMBUA HOTUBA YA DKT.SAMIA

  NA MWANDISHI WETU,ZANZIBAR. NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa, amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungamo wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kutoa hotuba nzuri katika maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania, inayohimiza jeshi hilo kujitathmini na kujisahihisha ili liendelee kuaminiwa katika jamii. Dkt.Dimwa,amesema hotuba hiyo imekuwa…

Read More

Mgambo 60 waongeza nguvu msako wa mwanafunzi aliyepotea Babati

Arusha. Msako unaendelea kumtafuta mwanafunzi wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Bagara, Joel Johannes (14) aliyepotea walipokwenda Mlima Kwaraa kwa ziara ya masomo. Katika kuongeza nguvu, mgambo 60 wameungana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama na wananchi kumsaka mwanafunzi huyo aliyepotea tangu Jumamosi ya Septemba 14, 2024. Akizungumza na Mwananchi leo Jumatano…

Read More

Mji wa Dresden wakabiliwa na hatari – DW – 18.09.2024

Janga la mafuriko linaendelea kuwatesa wakaazi wa mataifa kadhaa ya Ulaya ya Kati. Nchini Ujerumani mji wa Dresden umeshuhudia mvua kubwa kwa siku kadhaa na hivi sasa uko kwenye hatari kubwa ya kukabiliwa na mafuriko. Takriban watu 20 wameripotiwa kufariki kufikia leo Jumatano kutokana na mafuriko katika  nchi za Poland, Austria,Jamhuri ya Czech na Romania….

Read More

DKT.BITEKO:RAIS SAMIA AMEDHAMIRIA KUIFUNGUA KIGOMA

*Barabara ya Kakonko hadi Mpaka wa Burundi Kujengwa kwa Lami  *Atembelea Hospitali ya Wilaya Kakonko *Ahimiza Wananchi Kuendelea Kufanyakazi kwa Bidii  *Kakonko Yazalisha Chakula Ziada Tani 81,000 Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Biteko amesema Serikali inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia…

Read More