Hezbollah yailaumu Israel kwa mashambulizi ya ‘pagers’ – DW – 18.09.2024

Mamia ya vifaa vya mawasiliano vinavyotumika na kundi linaloungwa mkono na Iran nchini Lebanon, Hezbollah, vimeripuka na kusababisha vifo vya watu tisa na wengine 2,800 kujeruhiwa. Waziri wa Afya wa Lebanon, Firass Abiad, amesema kati ya watu hao waliojeruhiwa watu mia mbili wako katika hali mahututi.  “Kama tulivyosema jana, watu waliojeruhiwa wanakaribia 3000. Wengi wamejerhiwa…

Read More

Hezbollah yaishutumu Israel kwa mashambulizi Lebanon – DW – 18.09.2024

Shambulio hilo limesababisha vifo vya watu wasiopungua tisa akiwemo mtoto mmoja. Watu wasiopungua 2,800 wamejeruhiwa katika shambulio hilo na wengine 200 wako katika hali mbaya. Kundi la wanamgambo wa Hezbollah limeapa kulipa kisasi dhidi ya shambulio hilo la Jumanne liililotokea baada ya vifaa vya mawasiliano kuripuka likisisitiza kuwa Israel imehusika, na kwamba litaiadhibu. Mapema hapo…

Read More

Umaskini Umeenda Wapi? – Masuala ya Ulimwenguni

Maoni na Sabina Alkire, Michelle Muschett (new york / oxford, uk) Jumatano, Septemba 18, 2024 Inter Press Service NEW YORK / OXFORD, UK, Sep 18 (IPS) – Mgawanyiko wa kisiasa, dharura ya hali ya hewa, uhalifu uliopangwa, uhamiaji, na ukuaji mdogo wa uchumi kwa sasa unatawala mjadala wa umma katika Amerika ya Kusini na Karibiani…

Read More

Salum Chuku kuikosa Fountain Gate

WAKATI kikosi cha Tabora United kikianza maandalizi ya kuiwinda Fountain Gate, inatarajia kuikosa huduma ya nyota wake, Salum Chuku. Chuku ambaye alifunga bao moja wakati Tabora United ikishinda 2-1 ugenini dhidi ya Namungo, aliumia katika mchezo uliopita dhidi ya Tanzania Prisons ambapo alishindwa kuendelea. Keshokutwa Ijumaa, Tabora United itakuwa mwenyeji wa Fountain Gate kwenye mwendelezo…

Read More

Kipa CBE bado anamuwaza Dube

MASHABIKI wa Yanga bado wanasubiri kuona mabadiliko ya washambuliaji wao kuelekea mechi ya mkondo wa pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika lakini kipa wa wapinzani wao hao bado anawawaza washambuliaji wa timu hiyo akimtaja Prince Dube. Kipa Firew Alemayehu wa CBE ameliambia Mwanaspoti kuwa bado haamini kama wapinzani wao walishinda kwa bao 1-0 pekee kutokana…

Read More

Marefa hawa kuamua mechi za Yanga, Simba kimataifa

Marefa kutoka Guinea na Mauritania ndio wamepangwa kuchezesha mechi za nyumbani za wawakilishi wa Tanzania Simba na Yanga katika mechi zao za marudiano za raundi ya pili ya mashindano ya klabu Afrika. Mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika baina ya Simba dhidi ya Al Ahly Tripoli utachezeshwa na refa Abdoulaye Manet kutoka Guinea mwenye umri…

Read More

DKT.JAFO ATAKA WANANCHI WILAYA YA KILWA KUSHIKAMANA NA KUSIMAMIA MIRADI YA MAENDELEO

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Jafo,akiwa na viongozi wakikagua ujenzi wa Mradi wa Maji mavuji,Nangurukuru,Singino,Kivinje,Mpara ,Masoko uliopo wilayani Kilwa wakati wa ziara Maalum Mkoani humo yenye lengo la kukagua utekekelezaji wa Miradi ya maendeleo chini ya kauli mbiu isemayo “Rais Samia na Maendeleo Wasikie na Waone”. Na.Mwandisi Wetu. WAZIRI wa Viwanda na…

Read More