Geita DC, yatangaza maeneo ya kiutawala katika vijiji na vitongoji
Halmashauri ya wilaya ya Geita imetangaza rasmi Maeneo ya Kiutawala Majina ya Mipaka ya Vijiji na Vitongoji katika Maeneo majimbo likiwemo Jimbo la Busanda na Jimbo la Geita katika kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Akitangaza Maeneo hayo Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Geita, Rajabu Kalia amesema lengo la kufanya vile ni kumfahamisha mwananchi…