Madaktari watoa neno matumizi ya vilainishi kwa wanawake

Dar es Salaam. Kama ni mtumaji wa mitandao ya kijamii hususan Instagram, utakubaliana na mimi juu ya ongezeko la watu wanaouza vilaini (lubricant) kwa ajili ya kusaidia wanawake wasipate michubuko wakati wa tendo la ndoa. Kila mmoja akiuza bidhaa ya aina yake, njia tofauti zimekuwa zikitumika katika kuwashawishi wateja kununua vilainishi hivyo, ili waepuke maambukizi,…

Read More

Ukuta Simba wamkosha Fadlu Davids

ULE ukuta wa Simba mnauzingatia lakini? Umeshaupiga mwingi kwenye ligi ukiwa haujaruhusu bao, kama haitoshi ukaendeleza ubabe huo kimataifa, hivyo hadi sasa beki Henock Inonga ni kama hakumbukwi tena. Simba imecheza mechi mbili za ligi bila kuruhusu bao, ikacheza tena mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika ugenini dhidi ya Al Ahly Tripoli ya Libya na…

Read More

Nyasebwa: Ushindani mwanza ni mkubwa

Kocha wa mchezo wa Kikapu Mkoa wa Mwanza, Benson Nyasebwa amesema ushindani wa ligi hiyo mkoani humo ni mkubwa. Nyasebwa aliliambia Mwanaspoti, ushindani huo unatokana na viwango vikubwa vinavyoonyeshwa na timu zote zinazoshiriki ligi hiyo. Wakati huo huo, Planet iliifunga Crossover kwa pointi 59-49 katika mchezo wa ligi ya mkoa wa Mwanza katika Uwanja wa…

Read More

Uchunguzi wa haki unaonyesha ukandamizaji 'usio na kifani' – Masuala ya Ulimwenguni

Katika mpya ripoti,, Baraza la Haki za Binadamu-wachunguzi waliopewa mamlaka walieleza jinsi vikosi vya usalama vilivamia nyumba kadhaa za watu wanaoshukiwa kuwa wakosoaji wa Serikali. “Kutumia tu video za mitandao ya kijamii kama ushahidi pekee wa kuwakamata watu”. Vurugu na vitisho Ushahidi wa waathiriwa ulikusanya pande zote mbili za uchaguzi wa Urais uliobishaniwa tarehe 28…

Read More