Mwanafunzi apotea Babati wakiwa kwenye ziara ya masomo

Arusha. “Anayehitajika kuwajibika ni uongozi wa shule, wao ni wazembe. Ninamtaka mtoto wangu akiwa hai, siyo kwamba tunashidwa kukaa naye nyumbani, tumewaletea watoto wetu muwatunze, hatudaiwi chochote. “Halafu unaniambia mnampeleka safari haonekani, hapana haiwezekani, hata jana (Septemba 16) mbele ya Ofisa wa Upelelezi nimewaambia nahitaji mtoto wangu akiwa hai, kama hawana ulinzi, ni nini walienda…

Read More

Mchezo wa kupiga piga penalti na kushinda, unakusubiri

  CHIMBO la michezo ya kasino ya mtandaoni, kila siku inatambulishwa michezo mipya na rahisi kucheza, na kushinda pia. Expanse ndio magwiji wa kutengeneza michezo ya kasino. Beach Penalties ni mchezo mpya wa kasino ya mtandaoni unaoweza kucheza kwa dau dogo Zaidi, la kuanzia Tsh 100, huku kila penati utakayopata inahesabaiwa na odds kubwa za…

Read More

Wazazi Longido wadaiwa kutumia sherehe za ubatizo kukeketa watoto

Arusha. Baadhi ya wazazi katika jamii ya kifugaji wilayani Longido, Mkoa wa Arusha, wanadaiwa kubadili mbinu za kukeketa watoto wadogo na sasa wanatumia sherehe za ubatizo kama kificho cha kutekeleza ukeketaji. Aidha, inasemekana baadhi ya wazazi huzimaliza kesi hizo nyumbani, hali inayosababisha wahusika kushindwa kufikishwa kwenye vyombo vya sheria. Serikali imetoa onyo kwa yeyote anayeendelea…

Read More

Wenye ulemavu waridhishwa na miundombinu rafiki ya afya

Dar es Salaam. Baadhi ya watu wenye ulemavu kutoka vyama vya siasa, wameeleza kuridhishwa na huduma nzuri na miundombinu rafiki katika huduma za afya. Watu hao kutoka vyama vya United Democtratic Party (UDP), Democratic Party (DP), Tanzania Labor (TLP) na Union for Multiparty Democracy (UMD, wamesema hayo wakati wakizungumza na waandishi wa habari katika mkutano…

Read More