Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: September 2024

  • Home
  • 2024
  • September
  • Page 14
Habari

PIGA PENALTY UONDOKE NA KITITA

September 29, 2024 Admin

MCHONGO ni mmoja tu leo piga penalty ushinde kitita cha kutosha kupitia mchezo mpya wa kasino unaoitwa Beach Penalties ambao unaptikana kwa mabingwa wa michezo

Read More
Habari

WAANDISHI WATAKIWA KUANDIKA HABARI ZA LISHE KWA KUFUATA VYANZO SAHIHI

September 29, 2024 Admin

NA MWANDISHI WETU WAANDISHI wa Habari nchini wametakiwa kutafuta taarifa sahihi kutoka kwenye vyanzo,chombo ama taasisi husika ili kufanikisha kuandika kwa usahihi masuala yanayohusu lishe

Read More
Habari

Benki ya Exim yafanya Tamasha kusaidia wagonjwa wa afya ya akili

September 29, 2024 Admin

  BENKI ya Exim Tanzania imefanya tamasha linalojulikana kama ‘Exim Bima Festival 2024’ lenye lengo la kuchangangia huduma za afya hususani kwa watu wenye tatizo

Read More
Habari

TUKAJIANDIKISHE KWENYE DAFTARI LA MKAZI ILI TUPIGE KURA

September 29, 2024 Admin

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack ametoa wito kwa wananchi wa Mkoa wa Lindi kujitokeza kwa wingi kushiriki zoezi la kujiandikisha kwenye daftari

Read More
Michezo

Azam yabanwa, Singida yarejea kileleni

September 29, 2024 Admin

Timu za Azam na Singida Black Stars zimeshindwa kutamba kwenye michezo yao ya Ligi Kuu Bara leo baada ya kulazimishwa sare. Azam FC iliyotoka kupoteza

Read More
Habari

Bodi yashusha neema ya mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu

September 29, 2024 Admin

*Bilioni 38 zaongezwa kuondoa ukata kwa wanafunzi kutoka 200,000 hadi 530,000 Na Chalila Kibuda,Michuzi TV Serikali kupitia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu Juu

Read More
Habari

MBUNGE JIMBO LA SEGEREA KUWAUNGA MKONO WASICHANA WENYE TAALUMA MBALIMBALI

September 29, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu MBUNGE wa Jimbo la Segerea, Dar es Salaam Bonah Kalua ameahidi kuwaunga mkono wasichana wenye taaluma mbalimbali za masuala ya urembo na

Read More
Michezo

Kocha Tabora Utd aomba muda

September 29, 2024 Admin

KOCHA Mkuu wa Tabora United, Mkenya Francis Kimanzi amesema, anahitaji muda zaidi ili kutengeneza kikosi cha ushindani msimu huu. Kauli ya Kimanzi inajiri baada ya

Read More
Habari

MHE. SILAA ATEMBELEA SOKO LILILOUNGUA CHANIKA

September 29, 2024 Admin

MBUNGE wa Jimbo la Ukonga na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa, amefanya ziara ya kutembelea soko la Chanika leo Septemba

Read More
Habari

Beach Penalties mkwanja nje nje leo

September 29, 2024 Admin

  Usikubali kukaa kinyonge wikiendi hii kwani kuna mchezo mpya wa kasino wa kibabe pale Meridianbet unaitwa Beach Penalties, Mchezo huu unaweza kukufanya ukashinda mkwanja

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 13 14 15 … 311 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.