Meli yenye misaada ya kibinadamu kutua Sudan

Uturuki. Mamlaka ya Kukabiliana na Maafa na Dharura (AFAD), imetuma meli kutoka nchini Uturuki ambayo imebeba tani 2,995 za misaada ya kibinadamu kuelekea Sudan kunakoendelea mapigano ya wenyewe kwa wenyewe kwa muda mrefu sasa. Makamu wa Rais wa Afad, Hamza Tasdelen amesema tani 2,955 za misaada hiyo ya chakula, malazi, vifaa vya afya, jenereta pamoja…

Read More

Silinde ataja BBT inavyowabeba vijana

Mbeya. Naibu Waziri wa Kilimo, David Silinde amesema Serikali itaendelea kushirikiana na wadau kuwekeza kwenye sekta ya kilimo kupitia miradi ya kimkakati chini ya Programu ya Kujenga Kesho iliyo Bora (BBT). Pamoja na hayo, Silinde amewataka wadau wa kilimo kuongeza juhudi za kuwafikia vijana wengi zaidi katika maeneo ambayo imewekeza ya mashamba makubwa kwa ajili…

Read More

Magari yenye mfumo mbovu wa breki yakamatwa Songwe

  WAMILIKI wa vyombo vya moto nchini wametakiwa kuhakikisha madereva wa vyombo hivyo wanafuata sheria za usalama barabarani na kuacha mara moja tabia ya kuendesha magari ya abiria na mizigo bila kukagua magari wanayoyaendesha ili kubaini mapungufu yaliyonayo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Songwe … (endelea). Kauli hiyo imetolewa Septemba 17, 2024 na Mkuu wa Operesheni Kikosi…

Read More

Morogoro yaja na maonesho ya kilimo biashara

Morogoro. Mkoa wa Morogoro umeanzisha maonyesho ya kilimo biashara yatakayotambulika kama Samia Kilimo Biashara Expo, lengo likiwa ni kuhamasisha uzalishaji wa mazao ya chakula na lishe hapa nchini. Morogoro ni moja kati ya mikoa inayotegemewa katika kufikia lengo la kuwa na usalama wa chakula na lishe hali, hilo limeufanya uongozi wa mkoa huo kuandaa maonyeshao…

Read More

Tanzania kuzindua nembo ya asali kuvutia soko la kimataifa

Dar es Salaam. Tanzania ipo mbioni kuzindua nembo ya asali zinazozalishwa nchini, ili kuitambulisha bidhaa hiyo muhimu katika soko la kimataifa. Uzinduzi huo mbali ya kuitambulisha asali ya Tanzania katika soko la kimataifa, umetajwa pia kuwa uthibitisho wa ubora wa asali na nta zinazozalishwa hapa nchini. Mpango huo utazinduliwa na Waziri wa Maliasili na Utalii,…

Read More

Chadema kuwachuja wagombea 79, waeleza matarajio

Dar es Salaam. Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imeanza kufanya usaili kwa watia nia wanaomba kuteuliwa na chama hicho kugombea nafasi mbalimbali kwa kanda tatu. Jumla ya watia nia 79 kutoka kanda za Pwani, Kusini na Pemba kwa nafasi ya uenyekiti, makamu na Mweka Hazina katika ngazi za kichama na mabaraza…

Read More

Special Olympics Tanzania yaendesha mafunzo kwa walimu

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Taasisi inayojihusisha na michezo kwa watu wenye ulemavu wa akili(Special Olympics Tanzania), inaendesha mafunzo kwa walimu kutoka Manispaa ya Kigamboni, jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kutambua mahitaji ya wanafunzi wenye ulemavu wa akili katika kushiriki michezo jumuishi na wenzao. Mtendaji Mkuu wa Special Olympics Tanzania,…

Read More