KKKT yakemea matukio ya utekaji, mauaji

Mwanga. Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limeungana na makundi mbalimbali ya Watanzania kulaani matukio ya mauaji na utekaji yaliyotokea nchini, huku likiitisha maombi maalumu ya kuondokana na hali hiyo. Wito huo umetolewa na Mkuu wa KKKT, Dk Alex Malasusa leo Jumanne Septemba 17, 2024 wakati akitoa salamu za kanisa katika ibada ya maziko…

Read More

Mambo hadharani, kilichomuondoa Kocha KenGold

KUSHINDWA kwa mabosi wa KenGold kutoa mkwanja wa maana dirisha lililopita la usajili inaelezwa kuwa ni miongoni mwa mambo yaliyomuangusha aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Fikiri Elias ambaye  ameamua kukaa pembeni kutokana na mwenendo wa chama hilo. Jana Jumatatu Fikiri alifanya uamuzi huo sambamba na msaidizi wake, Luhaga Makunja mara baada ya KenGold ya Mbeya…

Read More

Zitto ataka kampuni za mbolea zilipwe madeni, Serikali yajibu

Dar es Salaam. Kiongozi mstaafu wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ameitaka Serikali kulipa mabilioni ya fedha akidai inadaiwa na baadhi ya kampuni zinazosambaza mbolea ya ruzuku, ili wakulima wapate pembejeo hiyo kwa wakati. Zitto amesema akiwa ziarani kwenye mikoa ya Njombe, Iringa na Ruvuma alipokea malalamiko kutoka kwa wakulima wanaohofia kuhusu upatikanaji wa mbolea ya ruzuku…

Read More

Mwamwaja awashika mkono kikapu Pwani

CHAMA cha Mpira wa Kikapu, Mkoa wa Pwani kimepokea vifaa vya michezo kwa ajili ya ligi ya mkoa huo kutoka kwa mdau Charles Mwamwaja. Makabidhiano ya vifaa hivyo ni mipira na pampu yalifanyika katika Uwanja wa Tumbi na kushuhudiwa na viongozi wa Serikali za mitaa kata ya Tumbi. Baada ya kutoa mipira hiyo, Mwamwaja aliahidi…

Read More