Lipiki aendesha mafunzo kwa watoto

WATOTO 30 wameshiriki katika mafunzo ya Min Basketball katika Uwanja wa Ukonga, Magereza yaliyoendeshwa na Kocha wa timu ya Taifa ya wasichana wenye umri chini ya miaka 16, Denis Lipiki. Mafunzo hayo ambayo yamekuwa yakifanyika kila mwaka tangu 2014, yalihusisha watoto wa umri miaka sita hadi 14 na kwa mujibu wa kocha Lipiki, lengo lilikuwa…

Read More

Ligi ya Mabingwa kukupatia mkwanja leo hii

  Usiku wa Ulaya unarejea yaani UEFA leo ni kipute ambapo timu kutoka Mataifa mbalimbali yatashuka dimbani kusaka pointi tatu muhimu kwenye mechi zao leo. Je beti yako unaiweka wapi leo? Mapema kabisa saa 1:45 usiku Juventus chini ya Thiago Motta watakuwa wenyeji wa PSV kutoka kule Uholanzi ambapo nafasi ya kushinda mechi hii ndani…

Read More

Mnyika aitwa Polisi kuhojiwa mauaji ya Kibao

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi limemwita Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika kwa ajili ya kumhoji kuhusu mauaji ya kada wa chama hicho, Ali Kibao. Kada huyo alitekwa na watu wasiojulikana Septemba 6, 2024 akiwa safarini kutoka Dar es Salaam kuelekea mkoani Tanga kwa basi la Tashriff na Septemba 8 alikutwa akiwa ameuawa eneo…

Read More

Kihage afurahia utendaji kazi Rusumo

Na Mwandhishi Wetu Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Exaud Kigahe, amefurahishwa na utendaji kazi wa wafanayakazi katika mpaka wa Rusumo. Kigahe ameyasema hayo alipofanya ziara ya kutemebelea mpaka wa Tanzania na Rwanda ( Rusumo ) kwa lengo kuangalia shughuli za Biashara zinazofanyika katika mpaka huo. Akizungumza wakati wa kujibu taarifa ya utendaji wa kituo…

Read More

Miili miwili yaopolewa ajali ya mtumbwi Ziwa Victoria

Bunda. Miili miwili kati ya mitano iliyohofiwa kufa maji baada ya mtumbwi kuzama Ziwa Victoria imeopolewa na kufanya idadi ya miili iliyopatikana kufikia mitatu. Mwili mmoja ulipatikana muda mfupi baada ya ajali kutokea. Miili hiyo ya mwanamke na mwanamume imeopolewa leo Septemba 17, 2024 asubuhi ikiwa ni siku ya tatu tangu kuzama ziwani humo baada…

Read More

Srelio yaiweka Pabaya Crows | Mwanaspoti

SRELIO imeichapa Crows pointi 74-72 katika Ligi ya Mpira wa kikapu Dar es Salaam (BDL), kwenye uwanja wa Donbosco, Upanga na kuiweka katika nafasi mbaya ya kushuka daraja msimu huu. Hata hivyo licha ya kupoteza mchezo huo, Crows ilionyesha kiwango kizuri katika robo zote nne na iliongoza robo ya kwanza kwa pointi 19-13, huku robo…

Read More