Mashindano ya Tanzania Ladies Open Golf Tournament 2024 Yahitimishwa Arusha, NBC Yaahidi Maboresho Zaidi.

Mashindano ya siku tatu ya Gofu ya Tanzania Ladies Open Golf Tournament yamehitimswa mwishoni mwa wiki jijini Arusha huku wadhamini wakuu wa mashindano hayo, Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) wakiahidi kuendelea kuyaboresha zaidi mashindano hayo ili kuyoangozea ubora na ushindani utakaowavutia zaidi washiriki kutoka ndani na nje ya nchi. Mashindano hayo ya siku tatu…

Read More

Malasusa: Utekaji, mauaji yafike mwisho

  MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Alex Malasusa, amelaani matukio ya utekaji na mauaji ya raia na kusema kanisa halitaki kusikia uhalifu huo tena. Anaripoti Restuta James, Kilimanjaro … (endelea). Ameyasema hayo leo Septemba 17, 2024, mbele ya Naibu Waziri Mkuu, Dk. Dotto Biteko, wakati wa ibada ya maziko ya…

Read More

Fedha za mpango wa Rwanda kuimarisha usalama mpakani – DW – 17.09.2024

Wirara ya Mambo ya ndani ya Uingereza imesema dola milioni 100 zilizotengwa na serikali iliyopita ya Uingereza kwa ajili ya kuwapeleka waomba hifadhi nchini Rwanda sasa zitatumika kulipia teknolojia mpya na wafanyakazi wa kukabiliana na magenge yanayosafirisha watu. Serikali mpya inayoongozwa na chama cha Labour iliyochaguliwa kwa kishindo mnamo Julai, iliutupilia mbali mpango tata wa…

Read More

Kuzama mtumbwi Ziwa Victoria, Tasac yatoa onyo

Dar es Salaam. Baada ya mtumbwi wa uvuvi unaokadiriwa kuwa na watu 21 kuzama ndani ya Ziwa Victoria usiku wa Septemba 15, 2024, Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (Tasac) limewaonya wanaokiuka sheria na kuhatarisha usalama wa watu na vyombo vidogo majini. Mtumbwi huo wenye jina la MV Marwa Kiss uliokuwa ukitoka Mwalo wa Iramba…

Read More

Jesca afunika DBL | Mwanaspoti

Katika michezo, suala la kucheza rafu ‘madhambi’ ni kawaida na ndiyo maana kumewekwa sheria na adhabu zitolewazo kutokana na mchezaji kufanya vitendo visivyokubalika. Kwenye soka, mifano ipo mingi kwa nyota wake ambao kuna waliocheza kwa miaka mingi na hadi wanastaafu hawajui kadi. Licha ya kutumikia nafasi ngumu uwanjani ambayo wanaoitumikia hukumbana na kucheza rafu lakini…

Read More

Baa la njaa laikumba Sudan

  Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO), Dk. Tedros Adhanom Ghebreyesus, amesema nchi ya Sudan iliyokumbwa na vita inakabiliwa na njaa ‘kila mahali.’ Inaripoti Mitandao ya Kimataifa, Khartoum, Sudan Bosi huyo wa WHO ameyasema hayo alipozungumza na mwandishi wa BBC, Mishal Husain, kwenye kipindi cha BBC Today, baada ya kuzuru nchi hiyo. “Hali…

Read More