Watu 18 wafariki dunia kutokana na mafuriko barani Ulaya – DW – 17.09.2024
Zaidi ya watu 12 wamethibitishwa kufariki katika mataifa ya Austria, Poland, Jamhuri ya Czech na Romania kutokana na mafuriko yaliyoikumbia nchi hizo mwishoni mwa wiki huku idadi ya vifo ikitarajiwa kuongezeka. Sehemu kubwa ya barabara na baadhi ya nyumba katika mataifa yalioathirika na mafuriko zimefunikwa na maji huku mito ikivunja kingo zake. Soma pia: Zaidi ya…