ASKOFU MKUU MARK HERVALAND ASEMA KANISA LAO LIKO TAYARI KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUTATUA CHANGAMOTO
Na Mwandishi Wetu Mhashamu Askofu Mkuu wa Anglikan Catholic church Duniani Mark Hervland ameimbia serikali kuwa Kanisa liko tayari kushirikiana nayo katika kutatua changamoto mbalimbali za huduma za jamii zinazo wakabili Wananchi hasa ujenzi wa Miundombinu ya maji sehemu za Vijijini ili wapete maji safi na tiririka Mhasham Askofu Harvland amayasema hayo kijijini Mlali wilayani…