Wangoni na siri ya kutumia majina ya  wanyama

Wangoni hawaishiwi na mambo. Kabila hilo wenyeji wa Mkoa wa Ruvuma, achilia mbali umaarufu wao wa ushujaa vitani, wana simulizi ya kuvutia. Ni simulizi ya asili ya majina ya jadi ya kabila hilo linalotajwa kuingia Ruvuma miaka ya mwishoni mwa 1930 likitokea kwenye chimbuko la Wanguni na Wazulu nchini Afrika Kusini. Kwa Wangoni, sio jambo…

Read More

Mnara huu ndio kitovu cha Dar es Salaam

Ukiingia mtandaoni ni rahisi kuuliza kiasi cha umbali kutoka Dar es Saalam kwenda mikoa mbalimbali ya nchi yetu.  Sio umbali wa mikoani pekee, mtandao unaweza kukusaidia kujua hata umbali kwenda nchi jirani. Hata hivyo,  umewahi kujiuliza ndani ya  Dar es Salaam umbali huo unaanza kuhesabiwa eneo gani? Je, tunaanza kuhesabu kuanzia Kiluvya eneo linalopakana na…

Read More

KIGAHE AFURAHISHWA NA UTENDAJI KAZI RUSUMO

  Meneja wa kituo Cha forodha cha Rusumo upande wa Tanzania Bw. Amosi Illoyo (mwenye Shati la bluu) akielezea kazi mbalimbali zinazofanywa na mpakani hapo upande wa Tanzania Mhe. Naibu Waziri wa Viwanda (Mwenye Shati jeupe) na Biashara alizotembelea kituo hicho Ili kuona shughuli za kibiashara katika mpaka huo. ….. Naibu Waziri wa Viwanda na…

Read More

SGR inavyoweza kuwa fursa kwa usafiri wa anga

Dar es Salaam. Licha ya mtazamo kuwa, kuimarika kwa usafiri wa reli ya kisasa (SGR) kutaathiri usafiri wa anga kwa upande mmoja, wadau wa usafiri huo, wamesema reli hiyo ya kisasa inaweza kuimarisha sekta ya anga pia. Matumaini ya wadau hao yanatokana na mtazamo, kuna uwezekano wa vyanzo hivyo vya usafiri kushirikiana na kuwapa fursa…

Read More

Dk Biteko kuongoza waombolezaji maziko ya Askofu Sendoro

Mwanga. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko anaongoza mamia ya waombolezaji kwenye maziko ya aliyekuwa Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Mwanga, Askofu Chediel Sendoro yanayofanyika leo, Septemba 17, 2024, katika Kanisa Kuu, Mwanga, mkoani Kilimanjaro. Askofu Sendoro alifariki dunia Septemba 9, 2024 kwa ajali iliyotokea…

Read More

GGML yaanika mikakati kuwajengea uwezo wanawake sehemu za kazi

  KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML), imeahidi kuendelea kuwezesha wafanyakazi wake wanawake kushiriki kikamilifu katika utekelezaji wa majukumu yao kwa ufanisi, kuwajengea uwezo wa kushika nafasi za juu za uongozi na hata kuwawekea mazingira salama yanayopinga aina zote za ukatili wa kijinsia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Ahadi hiyo imetolewa…

Read More