Mikoa hii balaa kwa kuwa na mbumbumbu wengi

Chini ya mti wa mwembe amekaa Rose Daniel akiwa ameshika simu ya mkononi, akiangalia ujumbe mfupi wa maneno aliotumiwa na mwalimu wa mwanawe. Lakini kwa kuwa hafahamu kusoma na kuandika, inambidi amsubiri mwanawe huyo aje amsomee ujumbe huo, ambao hajui umeandikwa na nani wala unazungumza nini.  Rose ni miongoni mwa maelfu ya Watanzania wasiojua kusoma…

Read More

Sababu zatajwa matukio ya kihalifu kuongezeka Zanzibar

Dar es Salaam. Kukua kwa idadi ya watu kusikoendana na kuwapo kwa ongezeko la shughuli za kujiingizia kipato, kumetajwa kuwa miongoni mwa sababu zinazochochea ongezeko la matukio ya uhalifu visiwani Zanzibar. Pia wadau wanaeleza huenda matukio hayo yanaonekana kuongezeka kutokana na uelewa wa watu kukua katika kuripoti, badala ya kuamua kubaki nayo wenywe. Hayo yanaelezwa…

Read More

MSIFUATE MKUMBO BARABARANI – MUFTI

  Mufti na Shekh Mkuu wa Tanzania Alhaji Dkt. Abubakar Zuber Bin Ally Mbwana amewataka Waislamu kote Nchini kuendelea kuhubiri amani na kuachana na vitendo viovu vitakavyopelekea uvunjifu wa amani ya Nchi. Mufti amesema hayo katika Sherehe za Maulid ya Kitaifa iliyofanyika katika Viwanja vya Kalangalala Mjini Geita ambapo maelfu ya Waisalmu wamehudhuria akiwemo Mkuu…

Read More

Ni nini kinaendelea na ulimwengu (na siku zijazo) kwenye UN? – Masuala ya Ulimwenguni

Wiki inapoendelea kuanzia tarehe 22 hadi 30 Septemba, haya ndiyo unayohitaji kujua: Mkutano wa Wakati Ujao: Vipi ikiwa ulimwengu utatimiza ahadi zake? Je, dunia ingekuwaje ikiwa viongozi wataweka ahadi zao za kutekeleza malengo yaliyokubaliwa kimataifa kuelekea maendeleo endelevu? Wakati ujao unaonekana mzuri: hakuna njaa, hakuna umaskini, hakuna uchafuzi wa mazingira, hewa salama na maji, usawa…

Read More