Waziri Silaa Awasisitiza Waumini Kujiandikisha Kupiga Kura

WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe.Jerry Silaa amewataka viongozi wa kanisa kuwaasa waumini wao kutenga muda wa kujiandikisha katika daftari la wapiga kura ili wapate nafasi ya kushiriki kuchagua viongozi kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Agizo hilo amelitoa leo Septemba 30,2024 katika harambee ya ujenzi wa kanisa la KKT Kigezi-Chanika Jijini…

Read More

Bashiri na Meridianbet mechi za leo

  Jumapili ya leo mechi mbalimbali zinaendelea ambapo nafasi ya kuwa tajiri iko mikononi mwako. Man U, Real Madrid, Napoli na wengine kibao wapo dimbani. Bashiri sasa. Ligi kuu ya Uingereza leo kutakuwa na mechi kali kabisa ambayo inawakutanisha kati ya Tottenham Spurs vs Manchester United ambao wametoka kutoa sare mchezo wao uliopita. Mechi ya…

Read More

Vigogo MZFA wakaliwa kooni, waitupia TFF msala

BAADHI ya wadau wa soka jijini hapa wamemtaka Mwenyekiti wa Chama cha Soka Mkoa wa Mwanza (MZFA), Vedastus Lufano kujiuzulu nafasi hiyo, huku wakiliomba Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kumchukulia hatua kwa kumuita katika Kamati ya Maadili na kuitisha uchaguzi mkuu wa chama hicho kwa mujibu wa katiba. Wadau hao wakiwemo viongozi wastaafu wametoa wito…

Read More

Watumia sauti zao kujikwamua kiuchumi

Kondoa. Ubaguzi wa kutowapeleka watoto wa kike shuleni unaofanywa na baadhi ya wanaume katika kijiji cha Mnemia, Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma, umewasukuma wanawake kuanzisha kikundi cha uzalishaji mali ili kuwakwamua na changamoto hiyo. Kutokana na kukosa mtaji, kikundi hicho kinachojulikana kama Subira, kilichoanzishwa mwaka 2010 kwa kutegemea mapato yanayotokana na uimbaji kabla ya kuingia…

Read More

Vita Simba, Yanga imeanza kuchangamka

LIGI Kuu Bara inazidi kuchangamka ambapo kwa muda mrefu pale kileleni hujaiona Simba, Azam wala Yanga ikikaa. Fountain Gate na Singida Black Stars zimekuwa zikipishana. Angalau Simba imewahi kukaa pale juu msimu huu baada ya kushinda mechi mbili za kwanza kabla ya kuanza majukumu ya michuano ya kimataifa ikishiriki Kombe la Shirikisho Afrika, lakini Yanga…

Read More

Umuhimu wa kuepuka undugu, urafiki, udini kwenye uchaguzi

Dodoma. Wakati mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa ukiendelea, Rais Samia Suluhu Hassan ametoa kauli yenye taswira ya kutoa elimu kwa mpigakura kuhusu umuhimu wa kuacha kuchaguana kwa undugu au urafiki. Rais Samia ametoa kauli hiyo akilenga uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024 kwenye vijiji 12,333, mitaa 4,269 na vitongoji 64,274…

Read More

Shule zageuzwa ‘madanguro’ Dar | Mwananchi

Dar es Salaam. Kutotekelezwa kikamilifu kwa Mwongozo wa Malezi, Unasihi na Ulinzi wa Mtoto kwa Shule na Vyuo vya Ualimu Tanzania wa mwaka 2020, kunahatarisha usalama na  afya kwa wanafunzi, uchunguzi wa Mwananchi umebaini. Mbali na hilo, hali hiyo pia inachangia kuwapo kwa mmomonyoko wa maadili miongoni mwa wanafunzi. Uchunguzi uliofanywa na waandishi wa habari…

Read More

Mbinu mpya kupunguza foleni ya mizigo bandarini

Dar es Salaam. Bandari ya Dar es Salaam hivi karibuni imeshuhudia ongezeko la kasi ya uhudumiaji wa makontena, ikihudumia takribani makontena 100,000 ya futi 20  kwa mwezi ambayo ni  karibu asilimia 50 zaidi ya ujazo uliochakatwa mapema mwaka 2024. Ongezeko hilo, linalochochewa na kuongezeka kwa usafirishaji wa bidhaa kwenda nje ya nchi ikichochewa na msimu…

Read More

Kocha Yanga atimkia Lupopo | Mwanaspoti

KOCHA aliyewahi kuifundisha Yanga msimu 2020, Luc Eymael ametambulishwa kwenye kikosi cha FC Lupopo ya DRC Congo anakochezea mtanzania, Abdallah Shaibu ‘Ninja’. Lupopo hivi karibuni waliondolewa katika raundi ya pili ya awali ya michuano ya Kombe la Shirikisho CAF dhidi ya Bravos ya Angola kwa mabao 2-1 hali iliyosababisha klabu hiyo kumfuta kazi kocha Mohamed…

Read More