Wajasiriamali wadogowadogo kuendelea kulamba fursa za DCB

Dar es Salaam. Wajasiriamali wadogo wadogo nchini wamehakikishiwa kuendelea kupatiwa ufumbuzi wa tatizo la mitaji ya kibiashara katika kuingiza sokoni bidhaa zao zenye ubunifu kwa kutumia teknolojia ya kisasa ili kukidhi mageuzi ya sayansi na teknolojia. Hakikisho hilo, limetolewa na Benki ya Kibiashara ya DCB, wakati wa Mkutano Mkuu wa 22 wa Mwaka wa Wanahisa…

Read More

BASHE APONGEZA KAZI NZURI ZA ASA – NZEGA

WAZIRI wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) ameridhishwa na kazi nzuri inayofanywa na Wakala wa Mbegu za Kilimo (ASA) kufuatia ziara yake ya ukaguzi wa shamba la mbegu tarehe 16 Septemba 2024 lililopo Undomo, Wilaya ya Nzega. Shamba hilo lina ukubwa wa hekta 802.47 ambapo hekta 602 zimetumika kwa ajili ya uzalishaji wa mbegu kwa…

Read More

Rais Samia ateua Katibu wa Bunge, Jaji wa Mahakama Kuu

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Baraka Leonard kuwa Katibu wa Bunge, kuchukua nafasi ya Nenelwa Mwihabi, aliyeteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu. Uteuzi huo umetangazwa leo Jumatatu, Septemba 16, 2024 na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais-Ikulu ikimnukuu Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kusiluka. Taarifa hiyo ya uteuzi imeeleza, viongozi hao…

Read More

ACT Wazalendo yabaini dosari maeneo yaliyoachwa uchaguzi serikali za mitaa, kujifungia kuchambua

Dar es Salaam. Kiongozi wa chama cha ACT- Wazalendo, Dorothy Semu amesema watafanya uchambuzi wa haraka kubaini maeneo mengine yaliyoachwa na Serikali katika mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji uliopangwa kufanyika Novemba 27, 2024. Kwa mujibu wa Semu, kwa haraka haraka wamebaini kata tatu za Ulyankuku (Tabora) Katumba na Mishamo (Katavi)…

Read More

AMRI NA NOTISI YA MGAWANYO WA MAENEO YA KIUTAWALA KATIKA SERIKALI ZA MITAA YATAJWA IKIWEMO TARAFA YA LOLIONDO

Waziri Wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za mkoa na Serikali za Mtaa Mohamed Mchengerwa akizungumza na waandishi wa habari mapema leoMkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda akimkaribisha Mhe. Mchengerwa huku akimtaja kama kiongozi anayefikika na mwenye umahiri mkubwa katika kuwatumikia wananchi.Baadhi ya Wa kuu Wa wilaya za mkoa Wa Arusha wakiwa…

Read More

ASKOFU KUTTA AHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI MCHAKATO UANDIKISHWAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

  Na Mwandishi Wetu KANISA la Anglikan Catholic church Jimbo la Tanzania limewahamasisha wananchi wa Mkoa wa Dodoma kushiriki kikamilifu katika  mchakato wa uwandikishaji kwenye daftari la kudumu la wapiga kura linalotaraji kuanza Oktoba 25 mpaka mpaka Novemba 1 mwaka huu mkoani humo. Askofu Mkuu wa Anglikan Catholic church Jimbo la Tanzania,Dk. Elibariki Philip Kutta…

Read More

Vipigo mfululizo vyawashtua Namungo | Mwanaspoti

VIPIGO vitatu mfululizo ambavyo imepokea Namungo msimu huu katika Ligi Kuu Bara, vimewafanya wachezaji wa timu hiyo kukaa chini na kutafakari jambo. Namungo ambayo haina pointi katika mechi tatu ilizocheza kutokana na kupoteza zote huku ikifunga bao moja na kuruhusu matano, leo Jumanne itakuwa na kazi ya kujiuliza mbele ya Coastal Union. Mchezo huo wa…

Read More

Bakwata yafunguka matukio ya utekaji, Serikali yafafanua

Geita/Dar. Wakati Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) na wadau wengine wakisisitiza uchunguzi huru dhidi ya matukio ya utekaji na mauaji, Serikali imesema kwanza jamii inapaswa kujiuliza kwanini matukio hayo yanatokea kila unapokaribia uchaguzi. Katika hoja yake hiyo, Serikali imesema ni rahisi kutupa lawama kwa Jeshi la Polisi juu ya matukio hayo, huku ikieleza badala…

Read More