Scholz azuru Kazakhstan kuimarisha biashara, ugavi wa mafuta – DW – 16.09.2024

Wakati wa ziara yake, Kansela Scholz amekutana na Rais wa Kazakhstan Kassym-Jomart Tokayev huko Astana. Viongozi hao wawili walionyesha dhamira yao ya kuimarisha uhusiano wa pande mbili na kusaini makubaliano ya kuongeza kiwango cha mafuta ya Kazakhstan yanayouzwa nchini Ujerumani. Taifa hilo la Asia ya Kati kwa sasa linachangia takriban 11.7% ya mafuta yanayouzwa nchini…

Read More

DC Mwanga aeleza maneno ya mwisho ya Askofu Sendoro

Mwanga/Dodoma. Mkuu wa Wilaya ya Mwanga, Mwanahamis Munkunda, amesimulia mazungumzo ya mwisho kati yake na Askofu Chediel Sendoro kabla ya kifo chake. Amesema katika mazungumzo hayo, Askofu Sendoro alimshauri akachukue familia yake na ailete Mwanga ili waweze kupanga namna bora ya kuwatumikia wananchi wa Mwanga. Munkunda amesema kauli hiyo ya Askofu ilikuwa ni ishara ya…

Read More

RAIS SAMIA AWASILI MKOANI KILIMANJARO,KUFUNGA MKUTANO MKUU WA MAAFISA WAKUU WAANDAMIZI JESHI LA POLISI NA MAADHIMISHO YA MIAKA 60

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili mkoani Kilimanjaro, leo tarehe 16 Septemba, 2024. Rais Dkt. Samia anatazamiwa kuwa mgeni rasmi katika kufunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Wakuu Waandamizi wa Jeshi la Polisi na Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi…

Read More

Kocha Ken Gold: Nakwenda kujitathimini 

Wakati Ken Gold ikipokea kipigo Cha tatu kwa kupoteza bao 1-0, kocha wa timu hiyo, Fikiri Elias anafikiria kuachia ngazi kuifundisha. Fikiri ametangaza hilo leo baada ya mchezo wa ugenini wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC kumalizika, huku timu yake ikiendelea kusotea ushindi wa kwanza. Kocha huyo aliyasema hayo wakati akihojiwa na Azam TV,…

Read More

Bashe apongeza kazi nzuri za ASA Nzega

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe (Mb) ameridhishwa na kazi nzuri inayofanywa na Wakala wa Mbegu za Kilimo (ASA) kufuatia ziara yake ya ukaguzi wa shamba la mbegu Septemba 16, 2024 lililopo Undomo, Wilaya ya Nzega. Shamba hilo lina ukubwa wa hekta 802.47 ambapo hekta 602 zimetumika kwa ajili ya uzalishaji…

Read More

Kilwa, Ruangwa waomba kujengewa daraja lililosombwa na mafuriko

Kilwa. Wanachi wanaoishi katika Wilaya za Kilwa na Ruangwa wameiomba Serikali kuwasaidia kurejesha mawasiliano ya miundombinu ya daraja la Mto Mbwemkuru linalounganisha wilaya hizo lililoathiriwa na mvua kubwa zilizonyesha mkoani Lindi. Akizungumza jana Septemba 15, 2024 wakati Naibu Waziri wa Ujenzi, Godfrey Kasekenya alipotembelea madaraja yaliyoathiriwa na mvua hizo mkoani Lindi, mkazi wa Ruangwa, Abdallah…

Read More