Nasredine Nabi atoa ushauri wa bure Azam FC

KOCHA wa Kaizer Chiefs, Nasredine Nabi amewatuliza mashabiki na mabosi wa Azam kwa kuwaambia wampe muda kocha mpya kwani ana kitu atawafikisha mbali. Nabi ameyasema hayo baada ya kocha mpya wa Azam, Rachid Taoussi kuanza na suluhu katika mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Pamba Jiji uliochezwa Jumamosi iliyopita kwenye Uwanja wa…

Read More

Watetezi haki za binadamu wahimiza ulinzi kwa watoto

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) kwa kushirikiana mashirika wanachama ambao ni watetezi haki za watoto umemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kuchukua hatua dhidi ya vitendo vya ukatili kwa watoto kwa masilahi ya taifa la leo na la kesho. Septemba 14,2024 watetezi hao wameungana katika matembezi ya amani…

Read More

HALMASHAURI YA MOSHI YATANGAZA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA..

NA WILLIUM PAUL, MOSHI. MSIMAMIZI wa Uchaguzi katika halmashauri ya Moshi mkoani Kilimanjaro, Shadrack Mhagama amevitangaza vijiji 157 na Vitongoji 699 katika halmashauri hiyo kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa Novemba 27 mwaka huu. Mhagama ambaye pia ni Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo aliyasema hayo katika kikao chake na Watendaji wa Kata, Vijiji na…

Read More

Chomelo aisikilizia Konya | Mwanaspoti

MCHEZAJI wa timu ya Konya Amputee ya Uturuki na timu ya taifa ya walemavu ya Tanzania ‘Tembo Warriors’, Ramadhan Chomelo amesema sio muda mzuri wa kuzungumzia mkataba wake na klabu hiyo kwani bado ligi haijaanza. Chomelo alisaini mkataba wa miaka miwili mwaka 2022 uliotamatika msimu huu. Akizungumzia juu ya hatma yake kikosini hapo, Chomelo alisema…

Read More

Mabadiliko ya kiteknolojia yanavyoathiri ukuaji wa watoto

Geita. Mabadiliko ya kiteknolojia, kiuchumi, utandawazi pamoja na kupungua kwa mshikamano wa kijamii, vimetajwa kuwa chanzo cha kukosekana kwa misingi imara ya maadili, upendo na nidhamu kwa watoto. Katibu Tawala Mkoa wa Geita, Mohamed Gombati amesema hayo jana Septemba 15, 2024 wakati wa mahafali ya 12 ya Shule ya Msingi Waja iliyopo mkoani Geita. Gombati…

Read More

Mdamu: Sasa nina Amani moyoni

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Polisi Tanzania, Gerald Mathias Mdamu ameruhusiwa kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kufanyiwa upasuaji wa mguu wa kulia Ijumaa iliyopita huku akibainisha kwamba sasa ana amani ya moyo. Julai 9,2021, Mdamu alipata ajali ya kuvunjika miguu yote miwili wakati wanatoka mazoezini na basi la timu ya Polisi Tanzania katika Uwanja…

Read More