Mamilioni yanatoka kirahisi ukicheza Teen Patti Poker

  Leo nakutoa dunia ya kawaida, kisha nakupeleka ulimwengu wa Poker Teen Patti. Ulimwengu wa matajiri, uliojaa pesa kila chaguo unaloweka ni ushindi tu. Jisajili Meridianbet kuanza safari yako. Ulimwengu wa michezo ya kasino ya mtandaoni unasifikia kwa kutajirisha watu kwa dau dogo sana, unapocheza mchezo wa poker mfano huu wa Teen Patti, basi wewe…

Read More

WAZIRI DKT. GWAJIMA AZINDUA MATAWI YA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA TARIME KUHAMASISHA KUPAMBANA NA VITENDO VYA UKATILI

Na WMJJWM-TARIME MARA Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amezindua matawi ya mashabiki wa timu za Mpira wa miguu za Simba na Yanga ikiwa na lengo la kuhamasisha jamii kupambana na vitendo vya ukatili na kujiletea maendeleo. Akizungumza mara baada ya kuzindua matawi hayo Septemba 16, 2024…

Read More

Ulaya yakumbwa na maafa ya mafuriko

  MVUA kubwa zilizoanza kunyesha Alhamisi iliyopita, zimesababisha mafuriko, vifo na kulazimisha watu kuyakimbia makazi yao, katika nchi nne za Ulaya. Prague, Czech Vyombo vya habari vya kimataifa vimeripoti kuwa nchi zilizokumbwa na mafuriko ni Austria, Jamhuri ya Czech, Poland na Romania, huku Slovakia na Hungary zikitarajiwa kujiunga kwenye orodha hiyo kutokana mvua kubwa zinazondelea…

Read More

WAZIRI MKUU AHIMIZA USIMAMIZI WA MAADILI MEMA KWA JAMII.

*Asema lengo ni kuepusha uovu na kuchochea maendeleo WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa viongozi wa dini na Watanzania kwa ujumla wahakikishe wanasimamia na kuimarisha maadili mema kwa jamii ili kuepuka maovu na kuleta maendeleo endelevu kwa Watanzania. “Nitumie fursa hii kuendelea kutoa rai kwa wananchi, wazazi na viongozi wa dini kuhakikisha wanashiriki kikamilifu…

Read More

Bakwata yataka uchunguzi huru mauaji, utekaji

Geita/Dar. Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), limeungana na wadau wengine kusisitiza uchunguzi huru dhidi ya matukio ya utekaji na mauaji ya raia. Kauli ya Bakwata inakuja wakati wadau wengine wakiwemo wa haki za binadamu, wanasiasa na viongozi wa dini wakisisitiza kufanyika kwa uchunguzi huru, ili kuwabaini wahusika wa vitendo hivyo. Msisitizo huo wa wadau,…

Read More