Benki ya NBC Yashiriki Mbio za Ruangwa Marathon, Yasisitiza Dhamira yake Kuchochea Ukuaji sekta ya Michezo Nchini.

Benki ya Taifa ya Biashara NBC imeshiriki msimu wa pili wa mbio za Ruangwa Marathon 2024 huku ikisisitiza dhamira yake ya kuendelea kuunga mkono jitihada mbalimbali za wadau wa michezo nchini kupitia ushiriki, ufadhili, ubunifu na utoaji wa huduma mbalimbali zikiwemo za kifedha mahususi kwa wadau wa sekta hiyo. Dhamira ya benki hiyo ni sehemu…

Read More

Mpina amvaa Bashe kivingine – Mwanahalisi Online

  MBUNGE wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina, amesema wananchi hawawezi kukaa kimya pale wanapocheleweshewa huduma za kijamii ikiwamo kuuziwa pembejeo feki, kwa kuogopa kuambiwa wanafanya siasa. Anaripoti Restuta James, Dar es Salaan … (endelea). Kauli ya Mpina imekuja siku chache baada ya Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, kufanya ziara jimboni Kisesa na kuelezwa kwamba wamekubaliana…

Read More

Maofisa mawasiliano wataka kuthaminiwa ndani ya EAC

Dar es Salaam. Nafasi ndogo wanayopewa wataalamu wa uhusiano na mawasiliano  wa nchi za Afrika Mashariki kuwashauri viongozi wa Serikali na taasisi za umma, imetajwa kuchochea kauli kinzani zinazoibua migogoro baina ya nchi moja na nyingine. Imeelezwa kuwa, licha ya taaluma walizonazo kuhusu masuala ya uhusiano na mawasiliano, kwa bahati mbaya hawatumiki kushauri viongozi namna…

Read More

Wanafunzi masomo ya akili mnemba waula ufadhili asilimia 100

Unguja. Wanafunzi watakaosemea sayansi ya data na akili mnemba katika Taasisi ya Teknolojia ya India Madras, Kampasi ya Zanzibar (IITMZ) kwa mwaka wa masomo 2024/2025 watapata ufadhili wa masomo kwa asilimia 100. Hatua hiyo ni kuongeza ushawishi na kupata wataalamu wengi katika sekta hiyo, ikizingatiwa kwa sasa dunia inaelekea katika matumizi makubwa ya akili mnemba…

Read More

Vilio vyatawala mwili wa Askofu Sendoro ukiagwa Mwanga

Mwanga. Huzuni na majonzi vimetanda miongoni mwa mamia ya waombolezaji waliohudhuria katika Kanisa Kuu la Mwanga, Dayosisi ya Mwanga ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, wakati mwili wa aliyekuwa Askofu wa dayosisi hiyo, Chediel Sendoro, ulipowasili kwa ajili ya ibada ya kuuaga. Mwili huo  kabla ya kufikishwa kanisani hapo, ulipelekwa nyumbani kwake eneo la…

Read More