CBE yaja na mkakati wa ubia PPP ujenzi wa mabweni
CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE) kwa kushirikiana na Kituo cha Ubia wa Sekta za Umma na Binafsi (PPP) wanatatarajia kujenga mabweni ya wanafunzi kwa ubia utakaogharimu Sh. 20.7 bilioni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki na Mkuu wa chuo hicho, Profesa Edda Lwoga, wakati akizungumza na…