Benki ya CRDB yafanikisha uwekezaji wa mradi wa zaidi ya Bilioni 790 kwenye uchimbaji wa madini ya grafiti Tanzania

“Benki ya CRDB tumejikita sana katika kusaidia miradi ya kimkakati inayochochea maendeleo endelevu na kuleta matokeo chanya yanayodumu. Ushiriki wetu katika Mradi wa Grafiti wa Mahenge unaonyesha imani yetu isiyoyumba katika fursa na uwezo wa Tanzania na Afrika kwa ujumla.    Kwa kushirikiana na taasisi kubwa katika masoko mbalimbali, tunachokifanya katika mradi huu ni kuwa…

Read More

Halotel Tanzania yatembelea kituo cha watoto cha Human Dreams

Na Imani Nathaniel, Mtanzania Digital Kampuni ya Mawasiliano ya Halotel Tanzania imefanya ziara maalum katika kituo cha watoto cha Human Dreams Children Village, kinachojihusisha na kulea watoto yatima wenye ulemavu. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na kampuni hiyo, ziara hiyo ni sehemu ya jitihada za kampuni kutoa msaada na kusaidia jamii inayohitaji. Wafanyakazi wa Halotel…

Read More

Kiasi gani ni kikubwa sana kwa Mlima Everest? Je, si wakati wa Sagarmatha Kupumzika – Masuala ya Ulimwenguni

Kambi ya msingi ya Mt. Everest katika wiki ya pili ya Mei 2024. Katika miaka ya hivi majuzi, idadi ya wapandaji milima imekuwa ikiongezeka. Katika misimu ya kupanda mlima, kambi ya msingi inaonekana kama makazi ya rangi ya jumuiya ya wapanda milima. Mkopo: Tanka Dhakal/IPS Maoni na Tanka Dhakal (kathmandu) Jumatatu, Septemba 16, 2024 Inter…

Read More

Ewura yawaonya wanaouza petroli kwenye vidumu

Dar es Salaam. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imewataka wamiliki wote wa vituo vya mafuta kutoruhusu uuzwaji wa mafuta ya petroli kwenye vifaa visivyoruhusiwa kuchukulia au kuhifadhia mafuta hayo. Hata hivyo, baada ya wananchi waliozungumza na Mwananchi wamesema Ewura inapaswa kusimamia ujenzi wa vituo vya kuuzia mafuta maeneo ya pembezoni,…

Read More

NAIBU WAZIRI KIGAHE ATOA WITO KWA WAFANYABIASHARA WOTE NCHINI

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe ( Mb) ametoa wito kwa wafanyabiashara wote nchini kuchangia pato la Taifa kwa kulipa kodi kwa hiari.   Mhe. Kigahe ameyasema hayo wakati akijibu hoja za wafanyabiashara wa Ngara katika Mkutano uliofanyika kwenye ukumbi wa shule ya Sekondari ya Ngara. Katika kiko hicho, Wafanyabiashara hao wamewasilisha…

Read More

Ukraine yatangaza kupungukiwa silaha – Mwanahalisi Online

  RAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amesema kwamba taifa hilo halina silaha zinazoweza kuwatosheleza wanajeshi wake. Kyiv, Ukraine. Akizungumza jana Jumapili, Rais Zelensky alisema kwamba Ukraine inahitaji kuzipatia silaha brigedi 14, lakini uwezo wake ni brigedi 4 pekee. Zelensky alimwambia mwandishi wa habari wa Marekani, Fareed Zacharia kwenye mahoajiano ambayo pia yalichapishwa kwenye mtandao wa…

Read More

Halmashuri ya IFakara Mji yatoa elimu ya mpiga kura

Ikiwa imebaki miezi miwili kufanyika uchaguzi wa Serikaliza mitaa, vitongoji na vijiji kufanyika novemba 27 mwaka huu , halmshauri ya Ifakara Mji Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro imezindua kampeni ya kuhamasisha wahamasisha wananchi kujiandikisha katika daftari la mpiga. Mkuu wa Wilaya Kilombero Wakili Dunstun Kyobya amesema kampeni hiyo inatambulika kama Elimu ya mpiga kura imezinduliwa…

Read More