ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 830 KUKABILIANA NA ATHARI ZA EL -NINO

  Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya (WaPili kushoto) akitoa maelekezo kwa Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS), Mkoa wa Pwani, Mhandisi, Baraka Mwambage (WaPili kulia) alipokagua ujenzi wa barabara ya Nyamwage – Utete (Km 33.7) kwa kiwango cha lami,  mkoani Pwani. Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS), Mkoa wa Pwani, Mhandisi, Baraka Mwambage…

Read More

JWTZ yaibuka mshindi wa jumla mashindano ya BAMMTA

Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania Luteni Jenerali Salum Haji Othuman amemuwakilisha Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda kuwaongoza Wakuu wa Vyombo Vya Ulinzi na Usalama kufunga mashindano ya Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA). Katika mashindano hayo yaliyofungwa na Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo…

Read More

RC Malima atoa wito kwa wadu wa Kilimo, Mifugo na Mazingira kushiriki Samia Kilimo Biashara Expo 2024 Gairo

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima, amewataka wadau wa Sekta ya Kilimo, Mifugo na Mazingira kuchangamkia fursa ya Maonesho Makubwa ya Kilimo Biashara yanayotarajiwa kufanyika Wilayani Gairo kuanzia Oktoba 06, 2024 hadi Oktoba 12, 2024. Rai hiyo ameitoa Leo wakati wa Mkutano wake na waandishi wa habari kuzungumzia Maonesho hayo ambayo yatawaleta…

Read More

Mtanzania matumaini kibao Misri | Mwanaspoti

NYOTA wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga TUT FC inayoshiriki Ligi ya Wanawake nchini Misri, Hasnath Ubamba amesema anaamini utakuwa msimu bora kwake licha ya kwamba ni mara ya kwanza kucheza nje ya mipaka ya Tanzania. Mshambuliaji huyo alisajiliwa msimu huu kwa mkopo wa mwaka mmoja na mabingwa hao wa Misri akitokea Fountain Gate Princess inayoshiriki…

Read More

Gofu Wanawake yaibeba nchi kimataifa

MCHEZO wa Gofu Tanzania umepiga hatua kubwa sana katika ngazi ya kimataifa huku  gofu ya ridhaa kwa wanawake ikitajwa kuwa na mafanikio zaidi ya ile ya  wanaume, ripoti ya Chama cha Gofu ya Wanawake nchini imethibitisha. Akizungumza katika viwanja vya Arusha Gymkhana ambako michuano ya wazi ya Tanzania  iliingia siku yake ya  pili, Rais wa…

Read More

Siri ya Lina PG Tour kupigwa Moshi yatajwa

RAUNDI ya nne ya Lina PG Tour ambayo itachezwa mwishoni  mwa mwezi katika viwanja vya Moshi Gymkhana, Kilimanjaro  ni mahsusi kwa ajili ya kuenzi chimbuko  la mlezi wa  gofu ya wanawake  nchini, Lina Nkya ambaye alianzia gofu katika viwanja hivyo. Haya yalielezwa jana na Mkurugenzi wa mashindano haya, Yasmin Challi  ambaye alisema raundi ya nne…

Read More

Mambo 5 ushindi wa Yanga Ethiopia

Unaweza kusema Kocha Miguel Gamondi amekuja Yanga kwa ajili ya kufanya yasiyowezekana yawezekane kwani hadi sasa ameifanya timu hiyo kuwa tishio katika michuano ya ndani na ile ya kimataifa. Tangu msimu uliopita alipoanza kuifundisha Yanga akichukua mikoba ya Nasreddine Nabi, hadi sasa Wanayanga wanafurahia kile kinachofanywa na kocha huyo raia wa Argentina. Msimu uliopita, Gamondi…

Read More