Ivo: Tulieni, tunaenda Ligi Kuu

KOCHA wa Songea United, Ivo Mapunda amesema licha ya muda mfupi waliokaa kambini kwa maandalizi ya msimu huu, lakini vijana wake wako tayari kwa Championship na Mbeya Kwanza watarajie kipigo, kwani kiu waliyonayo ni kuona mkoa wa Ruvuma unakuwa na timu ya Ligi Kuu Bara msimu ujao. Songea United inajiandaa na Championship kwa msimu wao…

Read More

Aussems bado hajaridhika Singida Black Stars

PAMOJA na Singida Blac Stars kuongoza msimamo wa Ligi Kuu Bara kwa sasa ikiwa pia ni moja ya timu yenye mabao mengi kwa sasa, lakini kocha wa timu hiyo, Patrick Aussems ameonyesha kutoridhika kabisa na kuwataka washambuliaji kubadilika na kutumia nafasi wanazopata watakapovaana na Pamba Jiji. Singida inatarajiwa kuvaana na Pamba kesho Jumanne kuanzia saa…

Read More

Fadlu aliamsha Simba, arudia jambo lile lile

KIKOSI cha Simba jana usiku kilikuwa jijini Tripoli, Libya kumalizana na Al Ahli Tripoli katika mechi ya mkondo wa kwanza ya raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika, huku kocha wa timu hiyo, Fadlu Davids ameliamsha mapema kwa kutoa tamko ambalo mabosi na mashabiki wao wakisikia watachekelea. Simba iliyoanzisha hatua hiyo, ilivaana na Al…

Read More

Kisa CBE, Gamondi ageuka mbogo

YANGA imerejea jana mchana ikitokea Ethiopia ilikokwenda kuvunja mwiko wa kupata ushindi wa kwanza ndani ya ardhi ya nchi hiyo kwa kuichapa CBE SA kwa bao 1-0 katika mechi ya mkondo wa kwanza wa raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa, lakini matokeo hayo sio kitu Kocha Miguel Gamondi amegeuka mbogo. Kocha Gamondi amewawakia wachezaji…

Read More

Manula apigwa na polisi baada ya mechi Libya

  GOLIKIPA wa klabu ya Simba ya Tanzania, Aishi Manula, alipigwa na polisi baada ya kumalizika kwa mchezo mgumu wa kuwania kufuzu fainali za Kombe la Shirikisho Barani Afrika CAF uliochezwa jana Jumapili nchini Libya. Anaripoti Mwandishi Wetu kwa msaada wa DW … (endelea). Afisa mmoja ambaye hakutaka kutambulishwa alisema aliona Manula akishambuliwa bila ya…

Read More

Trump yupo salama baada ya jaribio la mauaji

  MGOMBEA urais wa chama cha Republican, Donald Trump, yuko salama baada ya kile FBI ilisema inaonekana ni jaribio la mauaji Jumapili alipokuwa akicheza gofu kwenye uwanja wake wa West Palm Beach, Florida. FLORIDA, Marekani Maafisa wa usalama wamesema maafisa wa idara ya ulinzi wa viongozi ya Marekani walimwona na kumfyatulia risasi mtu aliyekuwa na…

Read More

Siri mabadiliko majina ya maeneo  mitaa, Dar

Dar es Salaam ndio jiji kubwa nchini na mambo yake bila shaka ni  makubwa. Hivi unajua kama majina ya mitaa na barabara kadhaa yanayotumika sasa katika jiji hilo sio ya asili? Kazi hii inaangazia baadhi ya mitaa mitaa na barabara maarufu sambamba na majina yake ya kihistoria. Sio jambo kubaini kuwa aliyekuwa Rais wa Msumbiji,…

Read More